0:00
5:12
5:12

MAMA CHANJA AFUNGUKA KILICHOMFANYA AMCHUKUE REMY NA KUMLETA DAR

Entertainment

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2025 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

ADVERTISEMENT

Comments 26

Sign in to join the conversation

Sign in
gesine_schinke
gesine_schinke 1 month, 1 week ago

Ila Remy jamaniiiiiii nimecheka mpaka machozi

R
ross.woodward 1 month, 1 week ago

Hata kama memory card yangu Ina virus😅😅😅

D
daniel_wali 1 month, 1 week ago

Sina akili lakini akili ninazo 😂😂😂

judithdrift46
judithdrift46 1 month, 2 weeks ago

Mimi leo 2026 naweka comment nikiwa na Samsung Galaxy A24 Jee wewe unaweka na simu gani? 2:11

R
robertyadav686 1 month, 2 weeks ago

Kwann hamuulizi maswali ya maana nyie kaz kuuliza kuhusu kubadilika tu🙄 ilitakiwa Remy apewe nafasi ajielezee aliko toka na family yake ipo au haipo nini kilipelekea akaenda kwenye mawe hadi kukutana na mama chanja yan mnaacha kuuliza vya mana mnauzii nyieeeeeee halafu Media kubwa kabisaa!!!😮

M
maríacristina_deanda 1 month, 2 weeks ago

Juma lokole naomba umwambie mama chanja mm nampenda sanaaa Sanaa ucheshi,uchangamfu, kujituma aisee inshot nampenda

I
irmela_bärer 1 month, 2 weeks ago

Ila Remy anadaka maswali ya mama chanja apendi uchonganishi🤣

joseph_guerrero
joseph_guerrero 1 month, 2 weeks ago

Wewe una roho nzur kabisa

A
ann_lewis 1 month, 2 weeks ago

mama chanja apo bichwa mvuuumvuuu.

I
irmela_bärer 1 month, 2 weeks ago

Kina mbosso wanavimba

tracey_ramos
tracey_ramos 1 month, 2 weeks ago

Wasukuma sio wamakonde

N
nicholas_smith 1 month, 2 weeks ago

❤❤❤

K
karen_larson 1 month, 2 weeks ago

Mi wakwanza

melanie.campbell
melanie.campbell 1 month, 2 weeks ago

Mama chanja oyeeee

L
lilia_medrano 1 month, 2 weeks ago

Sema mwanangu mim anAnifraisha Kitu kimoja kumtaja MUNGU tuu kutoka moyoni anakumbuka sanaa ilo neno✊🙌🙏

L
leon.mohaupt 1 month, 2 weeks ago

Watu wa usukuman huwa wanamisimamo sana

B
brianmartin440 1 month, 2 weeks ago

Hakili sana

C
crystal.johnson 1 month, 2 weeks ago

Huyu juma lokole katoa wapi cheti cha habariiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

C
christopher_thompson 1 month, 2 weeks ago

Ndiyooo wakubwaa sikuzote ndioo wanaanza kukwazana na wadogo then wadogo ndioo wanaonekanaga wakosaji... Remi ni genius kwenye kujibu maswali ya kizushii

C
cynthia.horn 1 month, 2 weeks ago

Akili sina nayo ila ninayo Uyo Remi 😂😂😂