Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2025 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm
ADVERTISEMENT
Ila Remy jamaniiiiiii nimecheka mpaka machozi
Hata kama memory card yangu Ina virus😅😅😅
Sina akili lakini akili ninazo 😂😂😂
Mimi leo 2026 naweka comment nikiwa na Samsung Galaxy A24 Jee wewe unaweka na simu gani? 2:11
Kwann hamuulizi maswali ya maana nyie kaz kuuliza kuhusu kubadilika tu🙄 ilitakiwa Remy apewe nafasi ajielezee aliko toka na family yake ipo au haipo nini kilipelekea akaenda kwenye mawe hadi kukutana na mama chanja yan mnaacha kuuliza vya mana mnauzii nyieeeeeee halafu Media kubwa kabisaa!!!😮
Juma lokole naomba umwambie mama chanja mm nampenda sanaaa Sanaa ucheshi,uchangamfu, kujituma aisee inshot nampenda
Ila Remy anadaka maswali ya mama chanja apendi uchonganishi🤣
Wewe una roho nzur kabisa
mama chanja apo bichwa mvuuumvuuu.
Kina mbosso wanavimba
Wasukuma sio wamakonde
❤❤❤
Mi wakwanza
Mama chanja oyeeee
Sema mwanangu mim anAnifraisha Kitu kimoja kumtaja MUNGU tuu kutoka moyoni anakumbuka sanaa ilo neno✊🙌🙏
Watu wa usukuman huwa wanamisimamo sana
Hakili sana
Huyu juma lokole katoa wapi cheti cha habariiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndiyooo wakubwaa sikuzote ndioo wanaanza kukwazana na wadogo then wadogo ndioo wanaonekanaga wakosaji... Remi ni genius kwenye kujibu maswali ya kizushii
Akili sina nayo ila ninayo Uyo Remi 😂😂😂