Raisi wa Tff ndio wanauwa mpira watanzania kwaushabiki wake wakikolo
A
ayushman.chaudry3 months, 2 weeks ago
Manara umesema kweli. Bodi ya ligi pokeeni ushauri.
R
robert_richardson3 months, 2 weeks ago
TFF sioni sababu ya kuepo kwao wanafanya maamuzi kishabiki na sio kanuni.
E
ericarguello2663 months, 2 weeks ago
Haji sio kwenye mpira tu hata kwenye siasa vyote vyafanana
S
sherrybaker7923 months, 2 weeks ago
Wachambuzi wenzangu, hii liigi itaharibika ikiwa bodi ya liigi itaendelea kuonea timu fulani na kusikiliza timu fulani, Yanga kuihama hii liigi ni muhimu saana. Inaonewa saana
L
leon_williams3 months, 2 weeks ago
Mwenye nyumba yake kashaweka mzigo kama mlikuwa hamjui habari iwakute
C
cynthia_garcia3 months, 2 weeks ago
Mhhh!
B
brenda.padilla3 months, 2 weeks ago
Manara acha unafiki! Utanadije Derby ya Yanga na Simba kwa mechi kuchezwa uwanja wa mpunga?
babyberry3 months, 2 weeks ago
Kuna ubaya gani derby kuchezewa karagwe au kaliua
priya_ghose3 months, 2 weeks ago
Kwanza TFF wabanwe pia hizo pesa za fine zinakwenda wap maana imekua kama mradi
gerolfechoing173 months, 2 weeks ago
😅😅😅😅😅
charansarna1173 months, 2 weeks ago
Ila haji
M
marie_austin3 months, 2 weeks ago
😂😂😂😂😂😂😂 ila Haji liongoooo
T
trinidad_apodaca3 months, 2 weeks ago
😂😂 ....Bodi ilokubali mechi ikachezwe ktk field ya shamba darasa😂😂
victoria.solano3 months, 2 weeks ago
haji mungu anakuona hicho kitaliano
V
vasudha_khanna3 months, 2 weeks ago
Tatizo ni kwamba kuna double standard (upendeleo) ya wazi kati ya adhabu zinazotolewa dhidi ya Yanga ukilinganisha na adhabu zitolewazo dhidi ya Simba! Yanga inakandamizwa makusudi kwa lengo la kuinyong'onyeza!
keith_davis3 months, 2 weeks ago
Ongea manara hawajui hao tff
C
christopherharper9553 months, 2 weeks ago
Sisi kama yanga tunajua tff wanatumika kututoa kwenye reli ili Simba wachukuwe kombe na tusichukiwe mara ya tano
C
christopher_thompson3 months, 2 weeks ago
yaani karia hafai hata kua balozi wa mtaa kwa upuuzi anaoufanya hapo TFF nashangaa waliomchagua aongoze tena ila yanga wana uongozi smat sana waliliona hili mapema uozo unaoendelea pale
olivierdrift983 months, 2 weeks ago
Sululisho ni kukatwa point tu basi hizo faini haziwezi kusaidia
Raisi wa Tff ndio wanauwa mpira watanzania kwaushabiki wake wakikolo
Manara umesema kweli. Bodi ya ligi pokeeni ushauri.
TFF sioni sababu ya kuepo kwao wanafanya maamuzi kishabiki na sio kanuni.
Haji sio kwenye mpira tu hata kwenye siasa vyote vyafanana
Wachambuzi wenzangu, hii liigi itaharibika ikiwa bodi ya liigi itaendelea kuonea timu fulani na kusikiliza timu fulani, Yanga kuihama hii liigi ni muhimu saana. Inaonewa saana
Mwenye nyumba yake kashaweka mzigo kama mlikuwa hamjui habari iwakute
Mhhh!
Manara acha unafiki! Utanadije Derby ya Yanga na Simba kwa mechi kuchezwa uwanja wa mpunga?
Kuna ubaya gani derby kuchezewa karagwe au kaliua
Kwanza TFF wabanwe pia hizo pesa za fine zinakwenda wap maana imekua kama mradi
😅😅😅😅😅
Ila haji
😂😂😂😂😂😂😂 ila Haji liongoooo
😂😂 ....Bodi ilokubali mechi ikachezwe ktk field ya shamba darasa😂😂
haji mungu anakuona hicho kitaliano
Tatizo ni kwamba kuna double standard (upendeleo) ya wazi kati ya adhabu zinazotolewa dhidi ya Yanga ukilinganisha na adhabu zitolewazo dhidi ya Simba! Yanga inakandamizwa makusudi kwa lengo la kuinyong'onyeza!
Ongea manara hawajui hao tff
Sisi kama yanga tunajua tff wanatumika kututoa kwenye reli ili Simba wachukuwe kombe na tusichukiwe mara ya tano
yaani karia hafai hata kua balozi wa mtaa kwa upuuzi anaoufanya hapo TFF nashangaa waliomchagua aongoze tena ila yanga wana uongozi smat sana waliliona hili mapema uozo unaoendelea pale
Sululisho ni kukatwa point tu basi hizo faini haziwezi kusaidia