Watu wapo nje wa mda #funnycomedy #funny #anjinuwacomedy #comedy #comedymove #duet
ADVERTISEMENT
Comments 15
ann_lewis:
Hii imetokea wap
More Like This
21:48
MUUZA MAJI [7] SEASON 2
Entertainment
2.8k
100
23:57
MZANI [EP 11] Love Story ❣️❣️❣️ #pasarbrand #love #pasarfilms #africa
Entertainment
3.4k
100
20:07
DUNIA SEASON 02 ( EP 47 )
Entertainment
2.9k
0
0:13
The Secret Trick To Make The Robot Work! 🤫⚙️
Entertainment
80.2k
0
0:39
Tom vs Jerry fight IQ-⚔️##roblox #challenge #crazyfiltergames
Entertainment
54.4k
30
41:08
AUGUST 2026 COMIC AWARDS
Entertainment
529
0
0:39
Respect moments ❤️🩹 #ytshorts #shorts #kindness #humanity
Entertainment
62.2k
100
0:24
Gen Z snake😭💔
Entertainment
10.2k
100
You've reached the end
Hii imetokea wap
Namuunga mkono huyu kaka,kwanza apatiwe haki yake ya kuzikwa halafu maongezi baadae yatafuata.
Ukiwa unataka kutangaza neno andaa muadhara,hapo watu wamekuja kumstili mwenzao sio kuwahubilia
jamaa yupo sawa!! ila sasa dini km dini zimebakia na vitu viwili tu ambavyo siku watu wakiujua ukweli dini zitapotea, sehem ya kwanza ni NDOA na sehem ya pili ni MAZISHI, vinginevyo hazina lolote kwenye maisha yenye uhalisia wa kuishi, na ndio mana km mnafuatilia utakuta harusi na mazishi hua wanayatumia sana matukio hayo ili wapate kuwauzia HOFU jumla jumla.
Sio lazima uzikwe wewe 😂😂😂
Ubwabwa unapoa masikani pale😂😂
Aya maajabu
Waswahili😂
Hapo ndio nafasi ya kumwaga sela za kipadri sasa nyinyi mnaona mnacheleweshwa
Kama napata nafasi ya kuja hapo nahitaji hilo sanduku nitengeneze mlango
Tatizo wanyakiswaa ni wabishii sana😂😂😂😂
Muda mkuu
Muda wa wachawi inaisha wewe unaongea
Watu wanataka wakanywe mkojo wa firauni wanahisi mkojo utatiwa maji
Ubwabwa unapoa masikani pale😂😂