Kutoka kuwa ndoto ya Santiago Bernabéu hadi kuwa mjadala mkubwa Hispania. Kuelekea El Clasico dhidi ya Barcelona Mei 10, 2026, jina la Kylian Mbappé limegeuka gumzo baada ya sehemu ya mashabiki wa Real Madrid kuanza kumgeuka. Lakini je, kweli Mbappé ndiye tatizo la Madrid? Au presha ya kutotwaa mataji imewafanya mashabiki kutafuta mtu wa kumbebesha lawama? Kwanini hasa nyota huyo wa Ufaransa anazidi kuchukiwa ndani ya Bernabéu? Omary Mkambala anaelezea kwa kina 🎥: Bosha Nyanje #bbcswahili #kylianmbappe #realmadrid Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
ADVERTISEMENT
Shida ni mabeki sio Mbappe,,,Kila mtu afanye jukumu lake
Wafukuze mabeki kwan mbappe ndy anasababisha kufungwa
Labda wanataka afunge na aje kukaba kama beki😂😂,kama mtu anafanya kazi yake yakufunga nn Tena wanataka😊😊😊
Kuna msemo usemao mbaazi ikikosa maua husingizia jua,, lakini pia hatushangai hata bongo simba ikikosa goli humsingizia mangungu😅😅
Baba io jersey ya Tanzania na Adidas wap na wap 😂 umepitia kariakoo nn kubeba io jezi 😂
Nakubali kaka Ommy mungu akufikishe mbali zaid unajua sana nipo hapa nassir kijana wako ❤ mbappe aje nan United tu tuchukue makombe 😂😂😂
Aiende Buyern Munich
Hachiwi hata sie Barcelona tunampenda ila akiwepo nje ya uwanja 😂😂😂
Timu imekua ya kawaida sasa na maingizo mapya hayajazaa matunda,pia na kocha wadogo wasiokua na rekodi nzuri hawawezi kutoboa. Hata hao Barcelona sio kwamba wamejipata kivile ila afadhali kidogo tu.
Uyo ana radhi ya PSG
Aende arsenal akatwae mataji sasa
Anakibri
Wabaguzi tu Madrid mm nawajuwa nishaishi nao kwao Kwani anacheza peke yake?
Ana mkosi wa kukosa ubingwa kila timu anayoenda
sasa hamtaki mashabiki wangie uwanjani wa Cheze hakucheza kama walivyo taka mbona wamefungwa? acha aondoke tuwaone
Piya anazarau mbappe
Barcelona watamunyakua halafu awalize kama Madrid alivyofanya kwa Etoo
Alivyoondoka PSG tu Neema ikamiminika ndani ya PSG... wakampokea real Madrid na mikosi juu
Madrid wanatakiwa kupunguza mastaa ili waanze kujituma
Mbappe should leave our team