0:00
0:23
0:23

ALLAN OKELLO AOKOTA TENA KWA WANANCHI.

Sports

Mchezaji wa Yanga Allan Okello amepewa zawadi na leo tena ya Pesa na mashabiki zake baada ya kuwafunga bao mbili Coastal Union na kutoa pasi ya usaidizi moja katika mchezo huo.

ADVERTISEMENT
Comments 0 Be the first to comment