LIVE CROWN SPORTS; OKELLO NI MOTO WA KUTISHA/ CHAMA AMEZALIWA UPYA/ WACHEZAJI AZAM FC WALA SUMU WALAZWA HOSPITAL/ TUZO ZA BMT ZAZUA KIZAAZAA/ NBCPL IMENOGA.
ADVERTISEMENT
Comments 19joshuachen282:
leo ten okelo ni mcgezaj bora duuh
Nahomba kujua 2010 duniani Messi alishinda tunzo gani tofauti na laliga na akawa mchezaji bora ninyi wahongo ushabiki wenu hata watoaji wa tunzo.
W
wandamyst13 months, 2 weeks ago
YESU NI MUNGU
K
karen_larson3 months, 2 weeks ago
Hansi Uko Vizuri Nduguyangu
francisca_gonzález3 months, 2 weeks ago
Hansi Urikuwa Wapi Turkumis
J
jacquelinesanchez8703 months, 2 weeks ago
Anayeweza kusema 'sumu' ni Daktari na sio Polisi, bro Zaka!
V
vasudha_khanna3 months, 2 weeks ago
man of war oyoo
olivierdrift983 months, 2 weeks ago
Kukata point au kutoza faini ni kujificha kwenye kichaka. Lifanyieni kazi suala la kupuliza kemikali kwenye dressing rooms.
W
william_grant3 months, 2 weeks ago
man of war kutoka mabwe
G
grégoire_louis3 months, 2 weeks ago
Wew Sii Urikuwa Unaongea Kuwa Okelo Sio Mchezaji
B
benitosolorzano763 months, 2 weeks ago
Tuzo za BMT ni za mchongo! 😁
D
danielle_medina3 months, 2 weeks ago
Kwanini amjahanza kuchambua na timu ilitangulia kucheza,na atujasikia mazahifu ya chama ao yote ni mazuri uwanjani.
J
justin_brown3 months, 2 weeks ago
oyoooo
B
brenocosmos373 months, 2 weeks ago
Kule ayo kule chamaaa baba bazard wa tabata
monica.proctor3 months, 2 weeks ago
Mpr wa NN ten
G
georgesnight773 months, 2 weeks ago
Naomba kuuliza kati ya Arsenal na yanga ipi Team kubwa??
G
garytaylor193 months, 2 weeks ago
Hans una hoja,usikilizwe
B
brunamacedo6333 months, 2 weeks ago
Huyu Hans mnafiki alikataa usajili wa Chama kurudi Simba sasa hivi anasema nyota ya Chama iko Simba Hans pia hatumii akili ushabiki umemjaa ana-support Yanga kutumia nyumba ya jirani kama dressing room,ameona au kusikia wapi mambo kama hata duniani? Kama Yanga waligundua dressing room ina matatizo ,waligundua saa ngapi na walichukua hatua gani kuwataarifu TBLB na TFF? Na uchunguzi ulifanyika? Hans anasema Yanga waliona nyumba ya jirani ni salama je kuna anayejua ni nini Yanga walichokifanya kwenye hiyo nyumba?Na usalama wa wachezaji wa Simba vipi? Na yule mtu aliyeonekana kumwaga maji golini Hans anatuambiaje?
leo ten okelo ni mcgezaj bora duuh
Nahomba kujua 2010 duniani Messi alishinda tunzo gani tofauti na laliga na akawa mchezaji bora ninyi wahongo ushabiki wenu hata watoaji wa tunzo.
YESU NI MUNGU
Hansi Uko Vizuri Nduguyangu
Hansi Urikuwa Wapi Turkumis
Anayeweza kusema 'sumu' ni Daktari na sio Polisi, bro Zaka!
man of war oyoo
Kukata point au kutoza faini ni kujificha kwenye kichaka. Lifanyieni kazi suala la kupuliza kemikali kwenye dressing rooms.
man of war kutoka mabwe
Wew Sii Urikuwa Unaongea Kuwa Okelo Sio Mchezaji
Tuzo za BMT ni za mchongo! 😁
Kwanini amjahanza kuchambua na timu ilitangulia kucheza,na atujasikia mazahifu ya chama ao yote ni mazuri uwanjani.
oyoooo
Kule ayo kule chamaaa baba bazard wa tabata
Mpr wa NN ten
Naomba kuuliza kati ya Arsenal na yanga ipi Team kubwa??
Hans una hoja,usikilizwe
Huyu Hans mnafiki alikataa usajili wa Chama kurudi Simba sasa hivi anasema nyota ya Chama iko Simba Hans pia hatumii akili ushabiki umemjaa ana-support Yanga kutumia nyumba ya jirani kama dressing room,ameona au kusikia wapi mambo kama hata duniani? Kama Yanga waligundua dressing room ina matatizo ,waligundua saa ngapi na walichukua hatua gani kuwataarifu TBLB na TFF? Na uchunguzi ulifanyika? Hans anasema Yanga waliona nyumba ya jirani ni salama je kuna anayejua ni nini Yanga walichokifanya kwenye hiyo nyumba?Na usalama wa wachezaji wa Simba vipi? Na yule mtu aliyeonekana kumwaga maji golini Hans anatuambiaje?
man of war oyoo