#simba #youtubeshorts #mbwaduke #gsm #new #nbcsports #sportspesa #feitoto #wydad #afcon2025 #rajacasablanca #betway #mpanzu #ubuntu #mwananchi #alahlytv #pacome #timuyawananchi #offpitchtv #rajacasablanca #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #sports #mpenja #gsm #nbcsports #barbra #spotify #mangungu #ahmedially #kamwengestories #reels #soccer #podcast #ballislife #breakingnews #morroco #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #derby #cafoundationaccountsrevision
ADVERTISEMENT
Salamba upo sahihi kabisa,pia unamaono makubwa sana,Simba ndie aliyepeleka mechi Isamuyo,ukweli kila mpenda michezo aliukataa uwanja haukuwa mzuri,baada ya mechi kupita mbona kakimbia?? Tff na simba lao moja
Wa kwanza kutoka nchini Namibia 🇳🇦 Naombeni NKOLO MBOKA za kutosha
Acha mpewe ukweli, maana mpira mmehanishia uchawi wenu. Wachawi wote wako Simba
Salamba acha kupotosha watu kwahiyo simba wao walio badilishia hapo isamulo mbona hawakupata shida yoyote kwahiyo yanga wao ni special sana kuliko wengine washindwe kubadilishia maeneo husika
Unaongea utumbo
Acha mpewe ukweli, maana mpira mmehanishia uchawi wenu. Wachawi wote wako Simba
Yupo sahihi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mtachonga sana lakini yanga bingwa!!!!!!!🎉🎉🎉🎉sema baba wapone uchawi wao
Yupo sahihi
Nikweli salamba
Mlipo tupo Yanga bingwa
Hata bili atalipa boss Hana baya
Mamlaka za mpira zinapaswa kuweka utaratibu mzuri wa vyumba vya kubadilishia nguo kuliko kuziachia timu mwenyeji ambao wengine si waaminifu.
Salamba kumbe chawaa la yanga na GSM anapata posho9
Natamani katika kuboreshwa kanuni ifike mahali hata bodi ya ligi na shirikisho zipoenda tofauti tuzipige faini
Kwani anatafutwa na polisi😂😂😂
Salamba ndio angefaa kuwa Rais wa TFF. Akili kubwa sana huyu jamaa.
Tff wameshikwa na hasiraa Kwanini yanga haijafungwa na simba
yani kitendo cha makonda kuteuliwa mambo ya michezo tutajuta yanya
Simba walozi sana Mandala ndiyo Amekuwa anajitapa nauchawi Kila kukicha