Soultrob Soultrob
Home Videos Search Liked Videos Bookmarked Inbox Notifications Sign In
Get it on Google Play Log In
Soultrob
0:00
19:49
19:49

UCHAMBUZI ZUBERI MKALABOKO | YANGA WAMEONEWA FAINI MIL.31 WAMEFANYIWA UKATILI

Sports
ADVERTISEMENT
Comments 94 joanne.rose: Mm nawapa ushauri kwa viongozi wa yanga waikatae iyo azabu …
More Like This
DUH/ USO KWA USO SHAFII DAUDA NA MILAJI   WAMCHAMBUA DOUMBIA  ANAFAA KUCHEZEA SIMBA ?? 5:57
DUH/ USO KWA USO SHAFII DAUDA NA MILAJI WAMCHAMBUA DOUMBIA ANAFAA KUCHEZEA SIMBA ??
Sports 125 0
MGW & Dan Ndoye on Target! 🎯 | Liverpool 2-2 Nottingham Forest | Premier League Highlights 🎬 3:00
MGW & Dan Ndoye on Target! 🎯 | Liverpool 2-2 Nottingham Forest | Premier League Highlights 🎬
Sports 1.7k 58
SAME OLD SH*T 🤬😡 Tottenham 0-2 Newcastle EXPRESSIONS RANT 8:15
SAME OLD SH*T 🤬😡 Tottenham 0-2 Newcastle EXPRESSIONS RANT
Sports 8.9k 100
Caymanas Park, Jamaica | Saturday, August 29, 2026 7:53:08
Caymanas Park, Jamaica | Saturday, August 29, 2026
Sports 326 0
NRL 2026 | Roosters v Dolphins | Match Highlights | Round 26 4:42
NRL 2026 | Roosters v Dolphins | Match Highlights | Round 26
Sports 1.6k 100
Manchester United already won the Premier League! 😭 0:30
Manchester United already won the Premier League! 😭
Sports 17.1k 0
What it’s like to take photos at a Premier League match 📸 #pl #premierleague #newcastle #nufc 0:16
What it’s like to take photos at a Premier League match 📸 #pl #premierleague #newcastle #nufc
Sports 11.2k 75
Alisson Kicks Subs Board in Frustration ☹️ 0:23
Alisson Kicks Subs Board in Frustration ☹️
Sports 6.5k 100
You've reached the end

Comments 94

Sign in to join the conversation

Sign in
J
joanne.rose 3 months, 2 weeks ago

Mm nawapa ushauri kwa viongozi wa yanga waikatae iyo azabu wasilipe ushahidi wa wazi umeonekana kwa Azam mpaka wamepewa sumu wanataka lini timu ngapi wamekataa kuingiya vyumbani haukupewa azabu km iyo na tff wanaweza kuzibiti ilo lakini washafanya mradi kupiga fain waulizee izo fain zinatumika wapi waziri waulizee awo watu wako wanaharibu mpira

kerry_nicholson
kerry_nicholson 3 months, 2 weeks ago

Ni kweli binafsi nitaichangia club yangu kulipia hilo deni

J
justin_brown 3 months, 2 weeks ago

ila simba kule zenji ,poa tu....tutachanga,tff watwambie matumizi ya faini zote ...wawakilishe kwa waziri japo nae fala tu

L
leon_rogers 3 months, 2 weeks ago

tuzo zote za last season je,mpaka mfungaji bora kaondoka

L
lilia_medrano 3 months, 2 weeks ago

Dawa iliyotumika kuimaliza Azam vs TRA ndo iliyokuwa imepangwa itumike mechi ya derby yanga akastuka ndo mana akaenda kwenye nyumba nyeupe.kwahiyo yanga kuweni makini na mechi ya TRA hiyo dawa wanashirikiana wote simba na tra ,na wamefanikiwa na mpango wa kwanza wa kuimaliza Azam kwa hiyo bado haijatumika kwa yanga vs tra.viongozi hongera sana kwa kustuka mechi ya derby ya may 3.

G
garytaylor19 3 months, 2 weeks ago

Me naona Tanzania kila kitu kinaenda kwa chuki na ushabiki si michezo sio siasa wala sio maisha ni ushabiki na chuki tyu.

C
cynthia.horn 3 months, 2 weeks ago

Yanga hii pesa tusitowe ingawa imondani ya uwezo wetu

A
angela_rodriguez 3 months, 2 weeks ago

Hii tff ya mangungu ninasema kila siku sasa mtaniamini wanalibu mpira serikali nayo inashangilia sawa

matthewmist72
matthewmist72 3 months, 2 weeks ago

WAMEWAPA SIMBATUZO HYO ILI KUIKOMOA YANGA...UBISHI HAKUNA...YANGA DAIMA MBELE...

R
rolando_zayas 3 months, 2 weeks ago

Sema kaka..Ila Tff Mungu anawaona.

kristen_brooks
kristen_brooks 3 months, 2 weeks ago

Kaka upo sahihi sana.Wambieni wajuwe.Viongozi hajuwi wajibu wao.hongera sana kaka.

L
laurie.morgan 3 months, 2 weeks ago

Kabla ya fain unawaita kuliko huku ni kulea ubabaishaji mgeni kasema kulikuwa na tatizo anahofu ya kiafya wala hamshutuki hii inchi inashidagani mbona huruma imetoweka

A
agathe_prévost 3 months, 2 weeks ago

Shida hapa ni Moja tu ni kushindwa kuwekeza na kujikinganisha na timu iliyowekeza na bahati mbaya viongozi wa Mpira Kwa sbb ya hisia wanapambana na timu ambazo zimewekeza huu ni ujinga kupitiliza Iko siku hivi vilabu vinavyokandamizwa na vyenyewe vitapata watu watakaoongoza Mpira hapo Tff Tff imejaa unafiki na ushabiki na kushindwa kutekeleza majukumu Yao kama viongozi .double standard hizi ni za hovyo sn zinagawa Mpira wetu sn

M
marthahaven4 3 months, 2 weeks ago

Viongozi hawafai ni ubinafsi na nikuionea yanga mbona Simba wamevunja mlango wakioo wenye thamani kubwa na hawakufanywa chochote

agathe_marion
agathe_marion 3 months, 2 weeks ago

nikweli kabisa

L
lorraine_powell 3 months, 2 weeks ago

MAMLAKA ZA USIMAMIZI MICHEZO. (MPIRA WA MIGUU) NA MICHEZO MINGINE WAPIGE MARUFUKU VIASHIRIA WANAVYOFANYA WATU FULANI WAACHE WAKIONEKANA ADHABU INAWAHUSU.

N
naksh_chaudhry 3 months, 2 weeks ago

Haya isha hayo mpaka huyo kigogo mkuu anaendelea Timu fulani inaonekana antoa maagizo kunufaisha timu yakr

M
mohammed.barrett 3 months, 2 weeks ago

Hakuna viongozi hapo tiefuefu😂

J
jonathan.hill 3 months, 2 weeks ago

Uwezo wanao hila awawezi kufanya kwa sababu wanao wafanya ayo wanawajuwa na timu yao pendwa

S
saanvi.sha 3 months, 2 weeks ago

Karia niwakutimua pale kaz imeshinda anaiba hela za serikali

You've reached the end
  • Home
  • For You
  • Search
  • Sign In