UCHAMBUZI ZUBERI MKALABOKO | YANGA WAMEONEWA FAINI MIL.31 WAMEFANYIWA UKATILI
ADVERTISEMENT
Comments 94
joanne.rose:
Mm nawapa ushauri kwa viongozi wa yanga waikatae iyo azabu …
More Like This
5:57
DUH/ USO KWA USO SHAFII DAUDA NA MILAJI WAMCHAMBUA DOUMBIA ANAFAA KUCHEZEA SIMBA ??
Sports
125
0
3:00
MGW & Dan Ndoye on Target! 🎯 | Liverpool 2-2 Nottingham Forest | Premier League Highlights 🎬
Sports
1.7k
58
8:15
SAME OLD SH*T 🤬😡 Tottenham 0-2 Newcastle EXPRESSIONS RANT
Sports
8.9k
100
7:53:08
Caymanas Park, Jamaica | Saturday, August 29, 2026
Sports
326
0
4:42
NRL 2026 | Roosters v Dolphins | Match Highlights | Round 26
Sports
1.6k
100
0:30
Manchester United already won the Premier League! 😭
Sports
17.1k
0
0:16
What it’s like to take photos at a Premier League match 📸 #pl #premierleague #newcastle #nufc
Sports
11.2k
75
0:23
Alisson Kicks Subs Board in Frustration ☹️
Sports
6.5k
100
You've reached the end
Mm nawapa ushauri kwa viongozi wa yanga waikatae iyo azabu wasilipe ushahidi wa wazi umeonekana kwa Azam mpaka wamepewa sumu wanataka lini timu ngapi wamekataa kuingiya vyumbani haukupewa azabu km iyo na tff wanaweza kuzibiti ilo lakini washafanya mradi kupiga fain waulizee izo fain zinatumika wapi waziri waulizee awo watu wako wanaharibu mpira
Ni kweli binafsi nitaichangia club yangu kulipia hilo deni
ila simba kule zenji ,poa tu....tutachanga,tff watwambie matumizi ya faini zote ...wawakilishe kwa waziri japo nae fala tu
tuzo zote za last season je,mpaka mfungaji bora kaondoka
Dawa iliyotumika kuimaliza Azam vs TRA ndo iliyokuwa imepangwa itumike mechi ya derby yanga akastuka ndo mana akaenda kwenye nyumba nyeupe.kwahiyo yanga kuweni makini na mechi ya TRA hiyo dawa wanashirikiana wote simba na tra ,na wamefanikiwa na mpango wa kwanza wa kuimaliza Azam kwa hiyo bado haijatumika kwa yanga vs tra.viongozi hongera sana kwa kustuka mechi ya derby ya may 3.
Me naona Tanzania kila kitu kinaenda kwa chuki na ushabiki si michezo sio siasa wala sio maisha ni ushabiki na chuki tyu.
Yanga hii pesa tusitowe ingawa imondani ya uwezo wetu
Hii tff ya mangungu ninasema kila siku sasa mtaniamini wanalibu mpira serikali nayo inashangilia sawa
WAMEWAPA SIMBATUZO HYO ILI KUIKOMOA YANGA...UBISHI HAKUNA...YANGA DAIMA MBELE...
Sema kaka..Ila Tff Mungu anawaona.
Kaka upo sahihi sana.Wambieni wajuwe.Viongozi hajuwi wajibu wao.hongera sana kaka.
Kabla ya fain unawaita kuliko huku ni kulea ubabaishaji mgeni kasema kulikuwa na tatizo anahofu ya kiafya wala hamshutuki hii inchi inashidagani mbona huruma imetoweka
Shida hapa ni Moja tu ni kushindwa kuwekeza na kujikinganisha na timu iliyowekeza na bahati mbaya viongozi wa Mpira Kwa sbb ya hisia wanapambana na timu ambazo zimewekeza huu ni ujinga kupitiliza Iko siku hivi vilabu vinavyokandamizwa na vyenyewe vitapata watu watakaoongoza Mpira hapo Tff Tff imejaa unafiki na ushabiki na kushindwa kutekeleza majukumu Yao kama viongozi .double standard hizi ni za hovyo sn zinagawa Mpira wetu sn
Viongozi hawafai ni ubinafsi na nikuionea yanga mbona Simba wamevunja mlango wakioo wenye thamani kubwa na hawakufanywa chochote
nikweli kabisa
MAMLAKA ZA USIMAMIZI MICHEZO. (MPIRA WA MIGUU) NA MICHEZO MINGINE WAPIGE MARUFUKU VIASHIRIA WANAVYOFANYA WATU FULANI WAACHE WAKIONEKANA ADHABU INAWAHUSU.
Haya isha hayo mpaka huyo kigogo mkuu anaendelea Timu fulani inaonekana antoa maagizo kunufaisha timu yakr
Hakuna viongozi hapo tiefuefu😂
Uwezo wanao hila awawezi kufanya kwa sababu wanao wafanya ayo wanawajuwa na timu yao pendwa
Karia niwakutimua pale kaz imeshinda anaiba hela za serikali