0:00
0:16
0:16

wafunwa mbele ya samia waachiliwa #sumaiyafilam #funnyshorts #trending #wasafitv #harmonize

Entertainment
ADVERTISEMENT

Comments 30

Sign in to join the conversation

Sign in
R
rebecca_anderson 1 month ago

KAA UKIJUA ULICHO MFANYIA MWENZIO NAWE UTAFANYIWA

valentim_darocha
valentim_darocha 1 month ago

Kisichoriziki akiliki

melanie.campbell
melanie.campbell 1 month ago

Ndio maana mimi sitaki kuolewa unajukuta uko kwenye ndoa alafu unapata mtu unaempenda😢😢😢

S
stéphane_lagarde 1 month ago

Hovyo sana, mwanamke hajui anachokihitaji mpaka anaingia kabulini

L
luz_mireles 1 month ago

Hovyo sana, mwanamke hajui anachokihitaji mpaka anaingia kabulini

matthewmist72
matthewmist72 1 month ago

😂😂😂😂😂😂😂 mmmmh upande wangu mm nafata mahari zangu kwao Kisha nitaoa mwanamke mwingine uyo sio wangu ukiona ivyo Kuna wakati mungu anatengeneza jambo kwajil ya kukuepesha kitu 😢😢😢 ndg yang

R
robert.maldonado 1 month ago

Inallah waina illah rajiuni

J
justin_brown 1 month ago

Na aende tu akazini 😢😢😢😢

ross_shepherd
ross_shepherd 1 month ago

Tamaa hii

A
aliciabloom16 1 month ago

Wanaweke wakichaga siyo kuowa ila nikuwachezea hawatulii kwenye ndoa hiyo lana imewalamba

S
sarah.zuniga 1 month ago

Huyo mmwanamke malayA nae

H
hugo.ozuna 1 month ago

Ndy hawajui

H
hans-hinrichhendriks264 1 month ago

Sasa iyo ndoa kafungishwa na nani maana idhini ya ndoa inatolewa na mzazi wa mke kama yeye ndio alie mfungishwa kosa lake ila kama sio yeye iyo sio ndoa ifuatwe sheria ya dini mke aludi kwa mume wa kwanza kama hata mridhia mke wake aludi

B
brianmartin440 1 month ago

Ya rabi nihepushe na laana hii mimi na ki zazi changu

C
christine_ferrand 1 month, 1 week ago

mhukumu ni Allah ndio ajuae zaidi Tena sikila mtu na ubavu wake

danieladams607
danieladams607 1 month, 1 week ago

Usaliti

graham_harvey
graham_harvey 1 month, 1 week ago

Raha ya kuwa mwislam mudaa wowote unaoa na muda wowote Una Acha au kuachana sasa hii imeekaaje Wana mizengoo

S
stéphane_lagarde 1 month, 1 week ago

Alaf mbaya zaid kamwachia mtoto ambae bado nimdogo sana dah

A
ayushman.chaudry 1 month, 1 week ago

Wote hawajui dini inasema nini

melanie.campbell
melanie.campbell 1 month, 1 week ago

Wadumishe upendo wao