OCTOBER 22 [6]
ADVERTISEMENT
Comments 100
claude.renard:
Simjuh mamako ila namuombea afya njema siku ya mama duniani…
More Like This
2:15:23
LOVE AT THE GATE - SOPHIA CHISOM (SOSO)/SAMUEL ONOT/NIGERIAN MOVIES 2026 LATEST MOVIES
Film and Animation
3.4k
0
0:13
Lore accurate Vader 💀
Film and Animation
90.5k
100
0:18
When Wes Anderson Refused To Use CGI in Asteroid City 🎬🐦
Film and Animation
135.6k
100
1:00
Now The Prisoners Had Something On Him... | Time | #movie #shorts #time #prison
Film and Animation
1.7k
0
0:44
Every Fandom is Coming Together to Hate This One Movie
Film and Animation
183.5k
100
2:07
#nguvumoja
Entertainment
1.1k
12
23:31
HUYU NI NANI? | episode 60 |
Entertainment
18.4k
0
0:31
Elephants never forget
Entertainment
140.2k
100
You've reached the end
Simjuh mamako ila namuombea afya njema siku ya mama duniani 🎉🎉❤❤❤
Happy mother's day ❤️❤️ kama unapenda mama yako na wewe pia weka ❤❤❤❤
Kama unakubalian na mm manyonga kapata pa kumfanyia fyunyox mke wa chando nipe like😂
Tofauti ya huyu jamaa na muigizaj tofaut n wengine ni .... Movie zake zinafikirika na Zina lugha halis ya picha🙌🔥🔥
Sema movie ishaanz kuwa kali kama PRESSURE🎉🎉🎉
ila kaka imma kwenye vichambo hujambo 😂😂😂😂
Mungu akubariki sanaa chado masta na time Yako mpo vizur tunaomba msiwe mnachelewesha mnao kubariana na me weka like❤❤❤
Mungu akubaliki ww unaesoma comment hii 🎉
Kumbe DORY ndo mama ake NGWENGWE Daaah Mamkali uyo 😂😂😂😂
Nani kagundua chado ni baba wa ngwengwe😅😅😅😅
Mapenz ya kwel hayakoc muda ❤
Duh mzee wa funyosk ni hatri sna🔥🔥
Naimba wakuu naombeni saport yenu mashabiki wa CHADO STAR
Mwenyezimungu fungua milango ya huyu anae soma comment hii🤲🤲🤲 lililo humu kwake likawe jepesi, Milango ya baraka na uchumi zikafunguke juu yake, kama ni mgonjwa umponye na kampe afya njema amiin.
Matunda tukupe wenyewe ..Kipaumbele umpe chado 😂😂
Umeweza kuchezesha kutokana na ajar mliyoipata pole sana kwa majeruh na hongera chado kwa kazi nzuri🎉
Manyonga unajua sana brother Mungu akubariki mimi huwa natamani kuangalia sini zako sana
Watu wanapiga kama wanauwa mbu 😂😂
1:00 oyooooo mwamba kapata point yakujipia funyoksi kwa kigezo cha kumtishia kumwambia chado😂😂😂😂 nani kaliona hilo🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa maneno ya mamkali mmewe alikua chado mzee wa bize