BMT WAMJIBU YANGA NA ALLY KAMWE KUHUSU TUZO YA SIMBA KUWA TIMU BORA
ADVERTISEMENT
Comments 61
natashabeasley890:
Hii ni akili ndogo inamaa kama timu hazitafika fainali za k…
More Like This
5:57
DUH/ USO KWA USO SHAFII DAUDA NA MILAJI WAMCHAMBUA DOUMBIA ANAFAA KUCHEZEA SIMBA ??
Sports
125
0
3:00
MGW & Dan Ndoye on Target! 🎯 | Liverpool 2-2 Nottingham Forest | Premier League Highlights 🎬
Sports
1.7k
58
8:15
SAME OLD SH*T 🤬😡 Tottenham 0-2 Newcastle EXPRESSIONS RANT
Sports
8.9k
100
7:53:08
Caymanas Park, Jamaica | Saturday, August 29, 2026
Sports
326
0
4:42
NRL 2026 | Roosters v Dolphins | Match Highlights | Round 26
Sports
1.6k
100
0:30
Manchester United already won the Premier League! 😭
Sports
17.1k
0
0:16
What it’s like to take photos at a Premier League match 📸 #pl #premierleague #newcastle #nufc
Sports
11.2k
75
0:23
Alisson Kicks Subs Board in Frustration ☹️
Sports
6.5k
100
You've reached the end
Hii ni akili ndogo inamaa kama timu hazitafika fainali za kimataifa hakutakuwa na tuzo? Apo Hamna kitu
Yanga tulienda fainali ya shirikisho mlitupa?
Tuzo amepewa simba kwa sababu Makonda ni simba
Ila huyu mbona unajifanya unaelimu kumbe ni wivu tu wa mafanikio kwa yanga unaelimu gan kusema alikamwe Hana elimu
Huyu ally pamoja bhana yeye alishajihakikishia kuwa yanga inastahili kila kitu inaumiza kweli huyu siku haki itakapoanza tendeka akazimia tena namuhurumia
Ina maana Kila mwaka Simba itspata tuzo kwa sababu imefiks mbali kimataifa.
Na dar city iliingiaje kama hozo tuzo za kimataifa!?
TUZO AMBAYO AMEPATA SIMBA SC NI [ INTERNATINATIONA AWARD ] ..ILE SIO TUZO YA KUMFUNGA SINGIDA BS, PAMBA JIJI , DODOMA JIJI , MASHUJAA...
Kwani hzo ni tuzo za mechi za ndani au ni za nje yani kimataifa
Tunzo za kutengeza . Tunzo za kununua Tunzo feky tunzo ya hovyo
Acheni wivu kwani Simba wakipewa kitu ni lazima na nyie?
Takataka kabisa 😢, Rabish😮
Vigezo vya hovyo
Hii nimeipendasana kongole sana BMT humu ndani udanganyifu umezidi katika michezo bila ya kuwavunjia heshima Yanga ila huo ubingwa wa Yanga mfululizo ndani yake kuna mazagazaga tele kama vile makosa ya kibinaadamu ya marefaree na nakadhalika. Kimataifa sawa ndio sehemu sahihi watanzania kwenda kujipima uwezo wetu halisi safi sana elimu na kampeni za kuhamasisha vijana wetu kujituma zaidi kwenye hili iongezwe pamoja zawadi kuwa nzuri zaidi na ikiwezekana zijulikane kabisa kwa mfano ukishinda marathon unapata kiwanja au pesa kiasi kadhaa hii itasaidia vija kuwa na ari zaidi ya kupambana.
Rabish kabisa,huyu dada awe na adabu
Hamna kitu mnaibeba sana simba tunalijuwa hilo
Hata ka mwandishi wa habari kama Koro vile maana kanakomaa saana na leading questions...
Mamlaka hazijielewi!! Ni aibu sana kwa mpira wa Tz, ushabiki umezidi
Tuzo zinatolewa kwa timu inayofanyabvizuri bila kununua mechi utopolo nyinyi ni wahujumu mpira na bado hamjalalamika mtalalamika sana njooni tucheze mpira wa haki mchenyentwe wqhuni ninyi
international tounamente kwa Mwka Jana Simba alikuwa wa Mwisho kwenye kundi lake