MIRAJI|USIOMBE KUKUTANA NA YANGA ILIYOFUKUZA KOCHA🤣|WAACHE WADHULUMIANE WAO KWA WAO NDIO RAHA🤣
ADVERTISEMENT
Comments 84
sierrahayes217:
Leo wa kwanza
More Like This
5:57
DUH/ USO KWA USO SHAFII DAUDA NA MILAJI WAMCHAMBUA DOUMBIA ANAFAA KUCHEZEA SIMBA ??
Sports
125
0
3:00
MGW & Dan Ndoye on Target! 🎯 | Liverpool 2-2 Nottingham Forest | Premier League Highlights 🎬
Sports
1.7k
58
8:15
SAME OLD SH*T 🤬😡 Tottenham 0-2 Newcastle EXPRESSIONS RANT
Sports
8.9k
100
7:53:08
Caymanas Park, Jamaica | Saturday, August 29, 2026
Sports
326
0
4:42
NRL 2026 | Roosters v Dolphins | Match Highlights | Round 26
Sports
1.6k
100
0:30
Manchester United already won the Premier League! 😭
Sports
17.1k
0
0:16
What it’s like to take photos at a Premier League match 📸 #pl #premierleague #newcastle #nufc
Sports
11.2k
75
0:23
Alisson Kicks Subs Board in Frustration ☹️
Sports
6.5k
100
You've reached the end
Leo wa kwanza
Nisipo msikiliza milaji huwa sina amani kabisa
😮miraji salute
😂😂😂 miraji shikamoo wakumbushe wachambuz maandaz tena namkumbuka january alisema okello kama nan chagamba tunaomba mtafute january kwanza😂😂😂😂
We are here for sports only God bless you all team members finest online gamba with maramoja aweee yanga tukiw kmc n mwendo wa kuchoma nyama moto mdogo
Ninakubaliana na Miraji sababu tangu awali aliongea kuhusu Allan Okello. Wakati Okello anaenda Yanga Miraji alisema akiongea kiushabiki angetamani Okello angeenda Simba, ila akiongea kimpira na future ya mchezaji Yanga ni sehemu sahihi kwa Okello kuliko Simba. Leo tena ameirudia kali hiyo
Huyu mwamba akichambuwa mipira utadhani kaandika kwenye kitabu 🎉
Mlokua mnachekelea mambo ya nje ya uwanja madhara yake yameanza kutokea we na kichwa chako ka embe la msimu ulikua unajishaua nje ya uwanja nje ya uwanja leo unageuka
Miraji mimi ni Yanga damu lakini nakukubali sana mimi mwenyewe nikipanga kikosi Allan Okello siwezi kumchezesha winga yule ni no.10
MIRAJI WE NI MNOMA SANAA
ivi wasaf awa mwoni miraji jamani
😂😂😂😂😂ety tumepata na nan? Ww kwani yanga sema wamepata 😂😂😂
✌🏿✌🏿
🎉
Pole sana milaji kwa kifua
Safi kabisa
Miraji sina mchambuzi kama ww tz hapa
Chagamba sio kweli.. mkumbushe Miraji alivo kuwa anashabikia ubaya ubwela sn2. Sasa asikatae ulozi kama yeye ndio wa kwanza kusapoti chama lake lifabye ubaya ubwela. Wacha timu zote zifanye. Manake simba ndio timu inaongoza kwa ulozi
Ile moja max alivyoichuku kwanzia chini max analabaaaaa kafika mbele kaacha uchoyo maxi 💔
❤