Wanaumme wanne waliopata mateso kwenye ndoa zao wanaanzisha umoja wao .Wanajiwekea sheria kutorudi tena kwenye ndoa,na badala yake kutumia muda wao uliobaki kwa kazi na kula raha.
Je watafanikiwa..SENIOR BACHELORS 09
ADVERTISEMENT
Comments 100cynthia.costa:
JB amebakiza ep 1 ili aongeze dk mashabiki zake tunalikumbu…
JB amebakiza ep 1 ili aongeze dk mashabiki zake tunalikumbuka ilo 😂😂😂
Wa kwanza jmn 🎉 😂 ❤️
Nami nime kua wakwanza kwetu 🇧🇮 bachelors nipeni like yang ata kwa second moja tu itanitosha
Nimekua wa Sita jmn like naomben
Hii movie mwanzo me niliishabikia ilianza ya moto ila kila sku zikienda inakuwa mbaya haieleweke
Hawa Wazee Jau sana niamini mm😂😂😂
Dakika 12 Tunatazam nin Hii fupi
leo nimewahi mapema kama unaikubali hii movie gonga like hap
Bado moja utuletee dk 30
Wakwanza mm bhn nilikua bze nakuangalia nikasahau ku comment 🥹🥹
😂😂😂😂😂😂gonga like wewe
Na mimi nimo ndani Yao
Wa 12 jamani 🎉
Namim w Burundi Richi
❤❤❤❤
Wapili
kama huielewi hii movie kama mimi gonga like hapa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉asate kuburudani nakupenda ❤❤❤
Mr Jb hiyi movie ni nzuri Ila mnatupa dakika coaches sana jamani😢😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Anaitwa melode 🔥