Chama alipokuwa Yanga Ahmed Ali alisema kuwa Chama kazeeka, dost Hana mpya tena leo ajabu mnamsifia
L
lisa_hayes1 month ago
Kwani alipokuwepo Chama si Ahmed Ali na wapenzi wengine wa Simba wakasema kazeeka, Chama mguu dosti
helena_novais1 month ago
Chama wetu acheze mpaka atakapoanza kuitumia mkongojo ndo astaafu😊
agathe_marion1 month ago
uauninyi watnz ndo mnajifanya mnajuasana umuli
kristen_brooks1 month ago
Kweli kabisa ujakosea brother chama ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
N
naksh_chaudhry1 month ago
Wana yanga mtasema sana mwaka huu
francisca_gonzález1 month ago
Uko sahihi Nasri, Chama master class player. "Tuachane na umri wa Chama tuangalie kazi anayofanya uwanjani"
D
damien_davies1 month ago
Swadakta
M
marcelladörschner4831 month ago
Kuna limzee limoja kule bungeni lilisema eti chama kafunga goli la offside, kwani eti anasifiwa na waandishi wa habari? Mpaka nikasema hii dunia kweli shetwani hakubali kwamba Mungu yupo ndo kama yule mzee asiye na haya
K
kamilly_sousa1 month ago
Mwamba wa lusaka
M
maria_evans1 month ago
Chama nimchezaji akiwa kwenye tim isio jua, ndomana alipo kuwa Yanga hakuweza, yanga ni timu kubwa
R
rosaaltamirano4671 month ago
Hamna lo lote hasa huyo hapo, hivi hamuioni offside hapo?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kidogo leo umeongea vizuri
Chama alipokuwa Yanga Ahmed Ali alisema kuwa Chama kazeeka, dost Hana mpya tena leo ajabu mnamsifia
Kwani alipokuwepo Chama si Ahmed Ali na wapenzi wengine wa Simba wakasema kazeeka, Chama mguu dosti
Chama wetu acheze mpaka atakapoanza kuitumia mkongojo ndo astaafu😊
uauninyi watnz ndo mnajifanya mnajuasana umuli
Kweli kabisa ujakosea brother chama ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wana yanga mtasema sana mwaka huu
Uko sahihi Nasri, Chama master class player. "Tuachane na umri wa Chama tuangalie kazi anayofanya uwanjani"
Swadakta
Kuna limzee limoja kule bungeni lilisema eti chama kafunga goli la offside, kwani eti anasifiwa na waandishi wa habari? Mpaka nikasema hii dunia kweli shetwani hakubali kwamba Mungu yupo ndo kama yule mzee asiye na haya
Mwamba wa lusaka
Chama nimchezaji akiwa kwenye tim isio jua, ndomana alipo kuwa Yanga hakuweza, yanga ni timu kubwa
Hamna lo lote hasa huyo hapo, hivi hamuioni offside hapo?