0:00
0:54
0:54

MMEMSIKIA HUKO ACHANENI NA UMRI WA CHAMA DILINI NA KAZI YAKE

Sports
ADVERTISEMENT

Comments 14

Sign in to join the conversation

Sign in
V
victoire.lucas 4 weeks, 1 day ago

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

babyberry
babyberry 4 weeks, 1 day ago

Kidogo leo umeongea vizuri

C
cynthia.horn 1 month ago

Chama alipokuwa Yanga Ahmed Ali alisema kuwa Chama kazeeka, dost Hana mpya tena leo ajabu mnamsifia

L
lisa_hayes 1 month ago

Kwani alipokuwepo Chama si Ahmed Ali na wapenzi wengine wa Simba wakasema kazeeka, Chama mguu dosti

helena_novais
helena_novais 1 month ago

Chama wetu acheze mpaka atakapoanza kuitumia mkongojo ndo astaafu😊

agathe_marion
agathe_marion 1 month ago

uauninyi watnz ndo mnajifanya mnajuasana umuli

kristen_brooks
kristen_brooks 1 month ago

Kweli kabisa ujakosea brother chama ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

N
naksh_chaudhry 1 month ago

Wana yanga mtasema sana mwaka huu

francisca_gonzález
francisca_gonzález 1 month ago

Uko sahihi Nasri, Chama master class player. "Tuachane na umri wa Chama tuangalie kazi anayofanya uwanjani"

D
damien_davies 1 month ago

Swadakta

M
marcelladörschner483 1 month ago

Kuna limzee limoja kule bungeni lilisema eti chama kafunga goli la offside, kwani eti anasifiwa na waandishi wa habari? Mpaka nikasema hii dunia kweli shetwani hakubali kwamba Mungu yupo ndo kama yule mzee asiye na haya

K
kamilly_sousa 1 month ago

Mwamba wa lusaka

M
maria_evans 1 month ago

Chama nimchezaji akiwa kwenye tim isio jua, ndomana alipo kuwa Yanga hakuweza, yanga ni timu kubwa

R
rosaaltamirano467 1 month ago

Hamna lo lote hasa huyo hapo, hivi hamuioni offside hapo?