Simba nguvu moja najua kuwa 2026 simba ni bingwa hilo halina ubishi.Nakumbuka hata mwaka jana simba alikuwa bingwa lakini filigisu za tff ndiyo waliyosababisha kukosa ubingwa wetu
E
elaine_fry3Β months, 3Β weeks ago
Bora tukose hata wa kimataifa kuliko kumkosa faisal salum fei toto
Uko vizuli mzee baba
Asante sana kiongozi
Simba nguvu moja najua kuwa 2026 simba ni bingwa hilo halina ubishi.Nakumbuka hata mwaka jana simba alikuwa bingwa lakini filigisu za tff ndiyo waliyosababisha kukosa ubingwa wetu
Bora tukose hata wa kimataifa kuliko kumkosa faisal salum fei toto
Tunamtaka fei
Nomaβ€β€
Simba nguvu moja
Daah afadhar huo usajil n good san
unasema y kweli
MAELEZO YAKO kwa chobwedo kaka yamekaa vizuri
Muda wa kupenyezana madini lkn usiwe unaweka wazi usajili ambao bado haujakamilika coz competition inakuwa kubwa sokoni
Nom
Baba unatisha
Mi naona Chobwedo ndio mbadala sahihi wa Kibu
Ishu ya feisal imekaaje? Kiu ya watanzania haitaisha bila kumwona feilasufi kwenye uzi mwekundu na mweupe
Usiseme majina mana haeris ataenda
Katisha sana
Kumbe sio wa siri kama na wewe umjua kuwa kuna usajiri umefa nyika
Good π
Hakuna aliekumsii we sio mchambuzi Bali ni shabiki