USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU.
INSTAGRAM @pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
TOVUTI: www.pmtv.co.tz
ADVERTISEMENT
Comments 32cynthia.horn:
Nyie na simba ni dura na Abdul
Nyie na simba ni dura na Abdul
kacheze mpira wewe acha sababu mapema utafungwa tuu
Mi mara ya mwsho ulimfunga Yanga lini 😂😂pole
Eti fatigue kukaa kwenye bus ni fatigue
Leo mnaliwa vichwa bila mboga
Huna jipyaaaa
Broo huwawez wana mambo kibao ya kihenga
Utasema sana lakini Yanga ndiyo baba lao
Coastal Union ni timu ya nyumbani lakini wanakamiaga mechi Moja TU ushamba😂😂😂😂
Msha anza visababu na kuogopa kulizwa kesho kwa kamudomo hko kesho inshaaalh mnalala na viatu 😂😂😂😂
We nae mshamba2,,,
Sasa kama mechi ilikuepo shida nini
Acheni visingizio hamnauwezo wa kuifunga Yanga Africa
Acha kisingizio subiri kipgo kesho bwana mdogo
Kipind mnakuja kwa uwanja mmewasiliana na mamlaka
Njooni huku kuna vichekesho ,,,,kuna jitu linabwabwaja
nyie rukeni rukeni2 lkn kipigo kiko pale pale
Tima yawahuni yang
Mnatafuta sababu?
hao ndio yanga