Walikuja kutafuta Location kwa ajili ya kufanya Movie yao ndani ya huo MSITU… lakini wakapatikana wao wenyewe. MSITU una masharti. Ukiyavunja, hauondoki kama ulivyoingia. MSITU 🌲 #MSITU #HorrorKiswahili #MovieYaKutisha #AfricanHorror #SwahiliHorror #ForestHorror #SeriesYaKutisha #Episode1 #Laana #BongoMovie #DarkFolklore #scarymovies #netflix #2026 #actionmovies #bongoseries
ADVERTISEMENT
Mwenyezimungu fungua milango ya huyu anae soma comment hii🤲🤲🤲 lililo humu kwake likawe jepesi, Milango ya baraka na uchumi zikafunguke juu yake, kama ni mgonjwa umponye na kampe afya njema amiin.
Like za NBA FORTUNE BELLO ZIKAE APA
Tulio mmisi mwakatobe gonga like ap🎉
Binafsi hii movies ambae anaonekana yuko serious kila kipande ni J four ila hawa wengine hawana uhalisia wa kuigiza
mnao'comment mjitahidi kuwa wabunifu sisi wengine furaha zetu zipo kwenye comments zenu 😅
Nimetulia zangu naje4 kutoka unguja like zangu jamani
Kama mungu amekujalia afya njema usipite bila kulike
Toka epsod ya kwanza mpaka 27 bado hamjaazaa kushuti😅 mnatuona watoto
Kweni mkipata like hua mnafanyia nini ndugu zangu mana ombaomba humu wengi
Hawa wasanii munaleta hivi karibuni,hawana talent.
Naombeni like jameni🇧🇮🇧🇮
Wa kwanza Leo kutoka mikochen ❤❤❤
Bishoo wakwenye hazikwi nae kaingia msituni pameanza kuchangamka sasa
Upwiru Ni noma 😂😂😂
wakumi nime wahi leo 🎉🎉🎉
Upwiru Babaa 😂 we unacheza na Upwiru eti.... Ila Ben Akili Huna Mwanangu 😂🙌🏾
Tupo pamoja mwanzo mwisho inshallah 🙏🌹🌹🌹🌹🌹
Kaz nzur san 🎉🎉🎉
Daah!! Hii movie kwa kwel siielewi kabsa maana ni tofaut na ilivyoanza
Yani tokea nianze kufatilia hii movie sjajua yamaasha nin mpka kufikia Sasa naona vurugu tu mm