SIRI YA NDOA EPISODE [ 6 ] hii ni series mpya kutoka director gozi Ambayo inahusu misukosuko na usaliti katika ndoa hii ni drama Kali sana, usiache kutufwatilia kila episode tutayoipandisha. Instagram https://www.instagram.com/directorgozi?igsh=MWU3dTVmM2F2aHptcA== TikTok https://www.tiktok.com/@directorgozi?_r=1&_t=ZS-95pg4xoCt7P #clamvevo #directorgozi #menkwa #kitana #dunia #siriyandoa
ADVERTISEMENT
Gozi achana nahuyo dem Kila move anakua na hurka ya umalaya badilisha sio Kila move yye
Mm niwakwanza naombeni like zenu kutoka tanzania🎉🎉
Kumbe mkuki huwa mtamu kwa nguruwe ila kwa binadamu ni uchungu 😢😢😢😂😂😂 Mtawa bwana
Yaani leo movie zote ninazoangalia nakutana na marafiki wabaya khaaa nachoka mimi wadada hawa
Mtawa kayataka mwenyewe ona 😂😂sasa matokeo yake Siri ya ndoa
Hiiii kipindi mmetoa ila sioni maana yake kando na taraka aàaaah
Mimi kwa kwanza natak like zenu nikiwa kenya 🇰🇪 mombasa
Nakùbalii kaka umeskiaa kilio chetu kaza ivo ivo God bless u
Kaz iendlee kaka❤❤❤❤❤
Ngozi utanisame ni mecherewa🎉🎉❤❤❤
Gozi cjui kwann Kila cku una igiza nahuyo dem km mke wako na analiwa Kila move
Mtawa mtawa mtawa
Hongera gozi ❤❤❤
Nipowa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wanaume inauma ee
Gozi asikuambie mtu kazi yako safi🎉🎉
Dah jamani mamuu hadi huruma
Kazi nzuri gozi
Sound n kali wakuu🎉🎉
KAZI nzuri jipe moyo ❤❤❤❤