Mfukuzeni kazi mtu wa sound na mtu anayepost aoni kwani
N
nicholas_smith3 months, 3 weeks ago
Interview nzuri ila Technical team wadwanzi tu
A
angela_rodriguez3 months, 3 weeks ago
Wasafi media mbovu inakoroma koroma mjifunze kwa Millard Ayo
S
suzanneshadow593 months, 3 weeks ago
Guys mtu wa techniques wassafi ni nan? Mbona tunasikiliza pelechepeleche
B
brendanhollow273 months, 3 weeks ago
Nakubar mazee
G
genaro.chavarría3 months, 3 weeks ago
Nyie Wasafi Mitambo Yenu Bado Ya Kirofa
J
james_west3 months, 3 weeks ago
Oya hizi sauti zinaingiliana hivi mko serious kweli
keith_davis3 months, 3 weeks ago
hahahaha jumba la maajabu😂😂
R
reynaldo_godínez3 months, 3 weeks ago
Kwan ally leo kafnya mahojiano mara mbili jamn?
maanaszachariah603 months, 3 weeks ago
aongee mmoja bass
L
lucieadam193 months, 3 weeks ago
😂😂😂😂
H
hortensepoirier4533 months, 3 weeks ago
Mafua 🔨🔨
L
leon_williams3 months, 3 weeks ago
Asa na njie inakuaje sauti zinaingiliana
mariacecíliaalbuquerque4273 months, 3 weeks ago
Ali ni moj tu
A
ayushman.chaudry3 months, 3 weeks ago
Inamaana producer wa kipind hakuona kama saut zinaingiliana
vincent_keer3 months, 3 weeks ago
Sasa mbona sauti inajirudia nyie watu wa ufundi mko wapi?
L
leon.mohaupt3 months, 3 weeks ago
Hakuna media hapo
H
hakanhenk7473 months, 3 weeks ago
Mnanaboa ☹️
J
james_west3 months, 3 weeks ago
Yaani kitu kama hichi kinampatia mtu anaongea ujinga kama huyu yaani utangazaji Tanzania bado mko mbali saana ujinga mtupu
L
leon.mohaupt3 months, 3 weeks ago
Hiii radio haifai kabsa cha kwanza wachambuzi wanaingilia maongenzi wakati mtu bado anajierenza hamutoi muda mtu kuwa comfortable jiangalieni sana hiki kipindi kitawafia mkononi
Mfukuzeni kazi mtu wa sound na mtu anayepost aoni kwani
Interview nzuri ila Technical team wadwanzi tu
Wasafi media mbovu inakoroma koroma mjifunze kwa Millard Ayo
Guys mtu wa techniques wassafi ni nan? Mbona tunasikiliza pelechepeleche
Nakubar mazee
Nyie Wasafi Mitambo Yenu Bado Ya Kirofa
Oya hizi sauti zinaingiliana hivi mko serious kweli
hahahaha jumba la maajabu😂😂
Kwan ally leo kafnya mahojiano mara mbili jamn?
aongee mmoja bass
😂😂😂😂
Mafua 🔨🔨
Asa na njie inakuaje sauti zinaingiliana
Ali ni moj tu
Inamaana producer wa kipind hakuona kama saut zinaingiliana
Sasa mbona sauti inajirudia nyie watu wa ufundi mko wapi?
Hakuna media hapo
Mnanaboa ☹️
Yaani kitu kama hichi kinampatia mtu anaongea ujinga kama huyu yaani utangazaji Tanzania bado mko mbali saana ujinga mtupu
Hiii radio haifai kabsa cha kwanza wachambuzi wanaingilia maongenzi wakati mtu bado anajierenza hamutoi muda mtu kuwa comfortable jiangalieni sana hiki kipindi kitawafia mkononi