ALIKAMWE AMJIA JUU CHISANO JR SAKATA KUSEMA YANGA WAMEFELI USAJILI WA WACHEZAJI | AMBABANISHA UPETE.
ADVERTISEMENT
Comments 40
reynaldo_godínez:
Sema Ally anajua sana kujenga hoja, naona anaujua sana mpir…
More Like This
27:15
Duuh!! MIRAJI Acharuka Kila Mtu Atoe DukuDuku Lake Asitishiwe | Simba Inashinda Mbona Hawana Furaha?
Sports
190
17
12:06
SEMAJI: AHMED ZAMANI NILIKUWA MCHEZAJI KAMA CHILAMBO AU DOUMBIA.
Sports
304
26
9:35
"Rashford delivered an 8/10 performance" | Neville, Young & Bent react to Man Utd win
Sports
2.2k
100
7:22:16
Caymanas Park, Jamaica | Sunday, August 30, 2026
Sports
349
0
12:30
HIGHLIGHTS | Springboks vs All Blacks | 2nd Test | Greatest Rivalry Tour | Sky Sport NZ
Sports
548
100
1:23
Traitors that aren’t hated by their old clubs 😱 #football #footballshorts
Sports
1.1k
0
0:40
Kyle Walker compares his speed
Sports
8.0k
75
0:13
The Game Europe want right now… #barcelona #realmadrid #worldcup #brazil #spain #championsleague
Sports
30.8k
29
You've reached the end
Sema Ally anajua sana kujenga hoja, naona anaujua sana mpira, ana IQ kubwa ya mpira pia. Hapo anatoa somo kwa wachambuzi kitaalam sana🎉🎉 yake aisee
Safi sana ALLY KAMWE kwa majibu yako mazuri
Chisano kakimbia anajua kaongea utumbo anataka hoja yake ibaki vilevile alivyosema raisi wa yanga aondoke angekuewepo hapo hoja yake isingekuwa na mashiko unajua tena unapotumwa na kundi fulani lazima ulinde ulichotumwa
Alikamwe anajilewa sana ila wachambuzi wanajizima sana data
Safi sana ali kamwe unajua sana mpira
Aly kamwe nimwalimu waelimishe😂
Wamesahau kuwa wewe Ally ulikuwa mchambuzi bora pale Azam
wafundishe mpr ao mwenyekiti wanapigaga makelele tu apo wakiwaga mwenyewe, cc wananchi tunajivunia brain yko
Nakubari kamwe
Yanga hakiri nyingiiiiii
Hongera sana Semaji
Kuongoza ligi kwa kubebwa bebwa lakin sio kwa uwezo uto vilaza
Technical mistake, mhojiwa anahoji
Yanga na engnia damdam
dogo unajua kuelezea uje utoke kidog urudi kwenye uchambuz maana saiv wachambuz ni hovyo
Ila irene mzuri jmn
Ali,wanakuootezea muda hao,hawajui Mpira,hebu watutajie timu 1 tu duniani ambayo imesajili wachezaji na wote wameingia kikosi cha kwanza
Sas kama una foundation ya time ukiambiwa umefeli unakataa nini wakati tayari una foundation means utaenda kusajili wachezaji wanaoendana na foundation yako.
Ally anasema tayari wana foundation tunakubali sasa kilichowapereka sokoni tena wakasajiri ten plus players wakiwa wao hawajengi timu sasa kama hawajengi timu wachezaji zaidi ya kumi na ushee wanini?
Ally Kamwe anajibu very professional asee huyu ni zaidi ya Mwalimu wa akiba ndani ya timu🎉🎉🎉