#NBCPL: Tazama magoli yote matano yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati TRA United dhidi ya Azam FC. FT: TRA United 4-1 Azam FC Magoli ya TRA United yamefungwa na Ally Ng'azi, Ammy Mapaka na Ramadhan Salum 'Chobwedo' Goli la Azam FC limefungwa na Jephte Kitambala Bola. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedvsAzamFC #TRAUnited #AzamFC #TRAUnitedAzamFC
ADVERTISEMENT
Yesu ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI (Yohana14:6, Warumi10:9-10).
dah ila Azam kwl n uozo😂 yan wao wanazikamia Simba na Yanga tu😢😂
Azam kupost hamuoni Ata Aibu😂😂😂😂😂
wanalambalamba wamelabwa😂😂
magol matatu hmn kipa wa kudaka labd la nne uzembe wa gikp wanao ungana na mm like apa
Nilikua nahis wamegeuza matokeo😂😂😂😂
Ila Azam nao sis wanatukazia sana 😢😢😢😢
Ila mapaka 😂🙌😎😎🤣😅😅😅
Hawa TRA wanadharirisha team kubwa
Hope the goal keeper didn't put betting odds on this game!
TRA ishaanza kua tatizo jipya town kwa sasa
Hiyo ndio azam ninayo ijua mm ila ngoja ikutane na simba au yanga sasa😂😂😂
😂😂😂😂 kumbe adi penat walipata jaman ama walikula urojo 😂before waingie uwanjani
ila azamtv mbona hizi video quality ni mbaya hivi kwani nyie hamuoni yaani ligi ya kenya picha safi kuliko huku Tz ambapo ndio makao makuu na kamera zipo nyingi
Goli la 4 jaman😂😂😂
Azam wamelogwa
shukrani tra kwa kuziba fraha ya kitambara
Jua Kali Tizama
Hili jambo la kawaida sana kwa mpira wa miguu maana kila mechi ina option 3 😅😅😊
Sema marefa wetu wanabugi sana kwenye penati,makipa huwa wanawahi kutoka kabla mpira kupigwa ila wanakausha