Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Hivi Ni Lini Geoflea Alishapingana Na Jemedari?😂😂
Mbona kama mnachambua kitu tofauti na alichosema Ally Kamwe.Kama nitakuwa nimemuelewa vizur,amesema Timu inapoteza falsafa yake,sio kama inapoteza
Yanga inawapa shida sana WACHAMBIZI 😂😂😂
Jofulea ni mvurugaji tu hapo bola akae kimya kwani kuongelea yanga lazima
Mimi Najua Simba Bado Haina Ubora Wa Kuichallenji Yanga Tungekua Na Kocha Mzuri.
Upungufufu wa uchambuzi wenu ni kusoma ulichokitaka ukaishia kwa kocha Moulin bila kumalizia sentensi
Maamuzi Ya Yanga Yapo Sawa Kwa Sababu Yanga Inashindana Na Yanga Iliyopita, Halafu Yanga Haijastrago Msimu Uliopita.Yanga Hii Ndio Inastrago Kwa Sababu Mpaka Sasa Haiwezi Kuwa Na Point Za Msimu Uliopita.
Shida ya hawa viumbe hawajui wanachokiongea unaongelea familia ya mtu wakat unafamilia yako
Wachambuzi wa crown wanasumbuka na kupata shida pia kuhangaika sana sana na yanga.Ushabiki against yanga inawasumbua kiasi kwamba huwa wanaombea usiku uushe haraka ili waiingize mzigoni kuichambua yanga negatively 😅😅😅😅😅.
Hawa machawa usihangaike na uchawa wao,wametumwa na upande wa pili wana yanga tunaupongeza uongozi kwa maamuzi mazito.Hivi jemedari apewe na nani hiyo kazi mwambieni akaombe kwa hao wanaomtuma
Duh Mara Nyingi Sipendagi Kuwasikiliza Hawa Machawa Wa Simba Wamejaa Ujinga Sana.
Jemedari wewe ni Mtu mzima, punguza kupanic na kutaka kuonyesha hasira na chuki kwenye ishu za Downfall kwa Yanga. Yaani issues zozote za Simba unazipaka mafuta kuuaminisha umma kwamba Simba is the best club in Africa. Come on man muda mwingine unsjishushiahadhi uliyoijenga kwa muda mrefu kwenye mpira wetu na tasnia ya Habari. Usifanye watu waone unakua mwili na nyele za usoni kuongezeka huku kipara kikitaradadi kumbe ubongo unasinyaa. Hii comment isingekuwepo kuonesha unaandikiwa lugha labda iliyo ngumu kama ungesimamia weledi. Mkiitwa wachambuzi wa chochote kitu ama mnatawaliwa na hisia mnasema mnavunjiwa heshima. Mbona watu hawakuwahi kumesma Ambangile kuwa yuko Biased? Ni kwa sababu alikuwa anauchambua mpira na sio kutawaliwa na hisia. 📌
Kwa hii tabia hii ya kufukuza makocha kwa club za simba na yanga kwa sababu za kijinga kijinga, basi itafika wakati makocha wazuri wataogopa kuchukua contract za kufundisha timu zetu za bongo. Pedro hajatendewa haki.
🎉❤
Guys Yuko wapi Hans 😮😮
Jemedari mbona povu linakutoka kwani kinakuuma nini bwana weweee😂😂
Kisa woga ,koswakoswa,
hlf naomba mtukumbushe pia kwnn robatinyo alifukuzwa kw7bu zipi.. mtajua km kwl makocha wanaajiriwa ili kufukuzwa 😂😂😂😂
Jeff kanyoa rasta ..what happened?🙄
tukiwa wakweli yanga imedrop ila makosa ya marefa ndio yanaifanya iwe bora...