Sasa huo ndio uwanja wako utafanyaje baba mchungaji😂😂
luisquesada5246 days, 8 hours ago
Aliempa dawa mchungaji mungu amjaalie mana kashapona😂😂😂
K
kevin.brown1 week ago
et uwanja😂😂😂 leo mngeahinda 3 usingeongea hivo
graham_harvey6 days, 17 hours ago
Jmn kwani huo uwanja ndio mmeanza kutumia leo mbona mwaka Jana mmecheza mechi nyingi hapo na kushinda kwa magori mengi kwann leo mmeanza kuchukia uwanja ??
H
hans-hinrichhendriks2641 week ago
Mmmu naona comment za wana yanga2 apa
A
abeerbath4076 days, 12 hours ago
Ata kama mkipelekwa uwanja wenye kapeti la manyoya kama timu ni mbovu akuna kitu😅
A
andrea_hodges1 week ago
SIMBA Hamna Teim Kiukweli Hamjasajili Wachezaji Shukuruni Sana Leo Refa Leo Mnayo Cadi Nyekundu..
C
christina.lewis1 week ago
Sio suala la uwanja,timu mbovu! Nani mmemfunga zaid ya goli mbili? Hiyo ndo timu yenu
R
ross.woodward6 days, 18 hours ago
kuhama uwanja kweli kama ulivyosema uwanja wa isamuyo mchungaji haulogeki.simbavtunsloga sisi ndio tupate matokeo
charansarna1176 days, 12 hours ago
We mchungaji nawe, uwanja ci mmetumia mwaka jana uo😅😅
abigailbrown4826 days, 22 hours ago
Wewe auna nauri ya kwenda bunju
severin.geisel1 week ago
Wewe nimkweli kaka pambania timu yako
C
crystal_ramirez6 days, 22 hours ago
Acheni upumbavu mikimbio mizuri ndio nini?! Sisi tunataka magoli huyo Doumbia hamna kitu
anel.valdez6 days, 15 hours ago
Mtu unajiita mchungaji na unaamini kwenye nguvu za giza. Mara bahati,mara uwanja mgumu. Fanya maombi uwanja uwe mwepesi
Mnachojua ni kunya kunya tu mpk mseme nani kanya
Hata wakijenga uwanja wao wataukimbia
Mtahama sana mwisho wa siku mtajikuta katoro
uwanja sio tatizo tatizo wachezaji hawajitumii
Nabado mtafumuliwa malinda mpaka mseme
Hicho ndicho kiwango xha Simba zao kunya tu
Sasa huo ndio uwanja wako utafanyaje baba mchungaji😂😂
Aliempa dawa mchungaji mungu amjaalie mana kashapona😂😂😂
et uwanja😂😂😂 leo mngeahinda 3 usingeongea hivo
Jmn kwani huo uwanja ndio mmeanza kutumia leo mbona mwaka Jana mmecheza mechi nyingi hapo na kushinda kwa magori mengi kwann leo mmeanza kuchukia uwanja ??
Mmmu naona comment za wana yanga2 apa
Ata kama mkipelekwa uwanja wenye kapeti la manyoya kama timu ni mbovu akuna kitu😅
SIMBA Hamna Teim Kiukweli Hamjasajili Wachezaji Shukuruni Sana Leo Refa Leo Mnayo Cadi Nyekundu..
Sio suala la uwanja,timu mbovu! Nani mmemfunga zaid ya goli mbili? Hiyo ndo timu yenu
kuhama uwanja kweli kama ulivyosema uwanja wa isamuyo mchungaji haulogeki.simbavtunsloga sisi ndio tupate matokeo
We mchungaji nawe, uwanja ci mmetumia mwaka jana uo😅😅
Wewe auna nauri ya kwenda bunju
Wewe nimkweli kaka pambania timu yako
Acheni upumbavu mikimbio mizuri ndio nini?! Sisi tunataka magoli huyo Doumbia hamna kitu
Mtu unajiita mchungaji na unaamini kwenye nguvu za giza. Mara bahati,mara uwanja mgumu. Fanya maombi uwanja uwe mwepesi