Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kiungo Fred Ngoma ni mchezaji wa kisasa anayependa kuifanya timu ishambulie muda wote, lakini kwa sasa amepata jeraha na klabu inasubiri taarifa rasmi kutoka kwa daktari wa timu kuhusu hali yake. Kamwe ameyasema hayo baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Agosti 28, 2026, kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
ADVERTISEMENT