#Bhailam ⭐ Disclaimer This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! Subscribe hapa : https://www.youtube.com/@Bhailamkhan/ Subscribe to Comedy Plus: https://www.youtube.com/@ComedyPlustz/videos Like Ukurasa wetu wa Facebook :https://www.facebook.com/Comedyplustz/
ADVERTISEMENT
Asalam aleykum, bwana yesu asifiwe mwenyez mungu atujalie mwisho mwema jamn maana sisi bila yeye sio chochote 🙏
Kulala na kuamka ni neema Kila mwenye pumzi naamsifu BWANA WAPENDWA 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bhailam hii movie imeisha utamu Kwa sababu naomi amekufa
Team bhailam endelea kuharakisha ivivi❤
Km una Amini Mungu ni mwema kwetu basi ngoga like sema Amina Amina 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Jamani eti Naomi ndo aliaga kweli 😢😢😢 tukirudi kwa Monica umejua kutuchekesh dada 😂😂 yani kikohozi cha maramoja
Wa kwanza leo kutoka Burundi munipe like jamani mbona muna uchoyooo ningewaomba wali mugenipa
Jaman naitaji like hata moja tu jamaniiiiii😅
Mbona hio movie haielewek wallah imekuw ovyooo
Wa 2
Ingekuwa kilasiku mnawahi ivi kwakweli siwezi kuwasaliti
Mmezingua sana naomi kufa embu afufuke bas uko hospital cjui si bd ajazikwa au😢😢😢
Naomi hajafa yupo kijijini ku tibiwa haki ya mungu ndo hakili yangu inavo niambiya
Bahiram humefanya utoto sana umeitwa na majambazi umeenda peke Yako bila polic
Mlipo muuwa Naomi mume haribu movie yetu 😂😂😂
🎉 wakwanza kutoka congo 🇨🇩 RDC 🇨🇩 RDC 🇨🇩 RDC❤❤
Wa kwanza leo
Naomi arudi pia jmn😢😢love from kenya nawapenda nikiwa oman
Number one
Aiseee team bhailam Siku hizi nawapenda 🇧🇮