KABWE APAGAWA NA LIBASSE GUEYE THAMANI YAKE BILLION 10
Pamba jiji vs Simba
ADVERTISEMENT
Comments 8
charles_renard:
Mimi kwangu Loemba pale kati ni mzuri sana ana mapungufu am…
More Like This
5:31
Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Coastal Union Ligi Kuu NBC 2026/2027
Sports
86
0
3:02
PAMBA 1-2 SIMBA | LIGI KUU EXTENDED HIGHLIGHTS
Sports
161
0
12:02
AHMED ALLY Awazingua Duchi na Jabar "Kadi Nyekundu Wanaiumiza Timu"
Sports
125
0
2:56:15
SIMBA YACHUKUA ALAMA SITA KANDA YA ZIWA/ OURA, LIBASSE NI BALAA/ YANGA YAANDAA KIPIGO COASTAL UNION.
Sports
305
0
11:28
🚨uchambuzi wakina, Muendelezo ali kamwe akitoa msimamo wa klabu ya yanga kwa mwenda, ni balaa
Sports
65
0
12:11
AHMED ALLY AANIKA YA NYUMA YA PAZIA KADI NYEKUNDU, ATOA UJUMBE MZITO KWA MASHABIKI/ AWAONYA SINGIDA
Sports
141
0
22:04
🚨DOGO YUSUPH,APAGAWA MOTO WA LIBASSE NA ANICET OURA,JABAAR KAZINGUA.
Sports
90
0
2:04
HIGHLIGHTS: PAMBA JIJI FC 1-2 SIMBA SC
Sports
494
0
You've reached the end
Mimi kwangu Loemba pale kati ni mzuri sana ana mapungufu ambayo kocha anaweza kumrekebisha. Kwangu mimi naondoka na Loemba kuliko Mahema. Hata Jabar kwangu mimi Loemba yuko juu. Ila kocha anamtenga sana.
Kabwe uko na reasoning ya kimpira
Kwa Doumbia uto ndo wanaupandisha moto wa kumdharau na kumdhalilisha na Simba kukubali kuingizwa kwenye mfumo huo huo?
SIMBA ni tim ya kawaida kwa wasiojua MPIRA na wanaoendeshwa na udanganyifu wa media yan usiasa MPIRA,kfp SIMBA inauliwa kisiasa ila kama unaujua mpira siion team tukisimama UHALISIA ktk pitch ..LUNYASI naipa 100%
Kipa naye amefanya utoto kutodaka penalty. If he had remained and go for the ball.
Eeeh ama kweli akili ni nywele eti Libase Gueye anauzwa 10B Bhas uchawa umekuzidia mwenzetu kavae jezi kabisa ondoka kwenye kichaka cha uchambuzi
Analysis ya Inno Loemba nakubaliana na wewe asilimia 100%. Yule dogo nibalaa sana akicheza kiungo. Kumchezesha force number 9 kulifanya nianze kuona kama wakawaida, lakini dogo yupo noma sana kwenye kiungo. Anaachia mali nafungua nafasi, anapokea mali na daah hatari sana yule dogo.
Fvs imewekwa kwa simba pekee mbona peter shaulile alimchezea rafu mchezaji wa simba Arajiga akapeta bodi ya ligi naombeni liangalieni ili yanga wanaiiujumu simba nje ya uwanja.