MCHOME MAPOVU APAGAWA\TUMEZIDIWA KILA KITU NA PAMBA LEO\TOURE ALISHIKA\PAMBA WAMENYIMWA PENATI.
ADVERTISEMENT
Comments 23
advaithsoni654:
Contact between football and 😅😂😂😂😂
More Like This
5:31
Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Coastal Union Ligi Kuu NBC 2026/2027
Sports
86
0
3:02
PAMBA 1-2 SIMBA | LIGI KUU EXTENDED HIGHLIGHTS
Sports
161
0
12:02
AHMED ALLY Awazingua Duchi na Jabar "Kadi Nyekundu Wanaiumiza Timu"
Sports
125
0
2:56:15
SIMBA YACHUKUA ALAMA SITA KANDA YA ZIWA/ OURA, LIBASSE NI BALAA/ YANGA YAANDAA KIPIGO COASTAL UNION.
Sports
305
0
11:28
🚨uchambuzi wakina, Muendelezo ali kamwe akitoa msimamo wa klabu ya yanga kwa mwenda, ni balaa
Sports
65
0
12:11
AHMED ALLY AANIKA YA NYUMA YA PAZIA KADI NYEKUNDU, ATOA UJUMBE MZITO KWA MASHABIKI/ AWAONYA SINGIDA
Sports
141
0
22:04
🚨DOGO YUSUPH,APAGAWA MOTO WA LIBASSE NA ANICET OURA,JABAAR KAZINGUA.
Sports
90
0
2:04
HIGHLIGHTS: PAMBA JIJI FC 1-2 SIMBA SC
Sports
494
0
You've reached the end
Contact between football and 😅😂😂😂😂
Sowa anawasubiri kwa hasira alipe kisasi
Tutakuwa timu iliyo kuwa inanufaika na waamuzi
Sasa yule refa wew humjui mchome kumbuka mwaka Jana ilikuaje yule refa akichezesha mechi za simba
Aaaaaa aaaaaa imekuuma sana Leo simba kushinda na bado sana uchawi wenu utashindwa na mutaumia sana kazi unayo pole sana mapovi yatakutoka sana mwaka huu hadi uvae jenz Yako ya yanga maana unaziona mbaaya wewe simba Gani ujawai kusapot timu Yako ushakujua yala autusumbui endelea kumia
Imekuuma sana
Ivi tangu ligi ianze kuna timu nyingine iliyo pata red kadi tofauti na majirani zangu 😳
acha pombe falla
Utakufa vibaya wewe muone sura yake nae anajifanya mwanasimba
Kapige mswaki bhana mchome kisha ujee
Mchome wewe sio Simba kwani hata hao Yanga kunakipindi huwa wanakubali kuwa wamezidiwa sasa wewe timu yako hujawai kuisifia hata siku moja why?
Hio walio sema sio penalty. Lazima litakuja kujiludia. Tusije kusikia eti watu wamebebwa
Kaka naungana na wewe Refa kawaiwa pamba leo
Ww fala tena mlevi
Mcho hasa matatizo weye mh
Unaotwa nyumbani watt hawajakula ww unakula kwa gsm watoto jeee
Mambo ya FVS yanatufanya tujue kunatimu ilikuwa imejificha kwenye kichaka cha marefa
Chwiiiiiiiiiiiii😜😜😜😜😜😜
Huyu mpaka siku mmuone milembe ndio mtaamini alikuwa ana matatizo ya akili
Eti tumezidiwa kila kitu leo aje wakati Simba bao 2 kwa 1 ya pamba jiji