#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Namungo FC dhidi ya Yanga SC. Mechi imechezwa katika dimba la Majaliwa Ruangwa Lindi. Chadrack Boka, Maxi Nzengeli na Peter Shalulile ndio wafungaji kwa Yanga. Herbert Lukindo ndiye aliyeifungia Namungo. FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #NamungoVsYanga #NamungoYanga
ADVERTISEMENT