Nuru ni drama ya Kiswahili inayosimulia maisha,usaliti,mapenzi na changamoto za kila siku.Ni tamthilia ya East Africa inayoangaliwa na watazamaji wengi wa Africa na Diaspora wanaoishi USA,Canada na Ulaya. 🔥Tazama Episode 85 ya NURU hapa - sehemu muhimu za maisha,mapenzi na siri zinazofichuka. 🔔SUBSCRIBE for more episodes of NURU every week! 💬Acha comment yako-unampenda zaidi nani kwenye tamthilia hii? Hashtags: #Nuru #swahilidrama #EastAfricanSeries #bongomovies #swahiliseries
ADVERTISEMENT
duuuu!!nilijua nimekuwa wa kwanza leo ili niwahi hata like 10 😂😂😂
Sija wahi kupata hata likee mojaa❤❤❤❤
Nuru ni Moja ya tamthilia Bora sana Africa mashariki na kati na Ina watu Bora sana, Binafs nataka nione baada ya Nuru mnakuja na kitu gani🎉🎉🎉🎉
Duh mkurya mimi nmechelewa kinoma naombako kalike ata vitano2 jameni
Alice utamkumbuka John ipo siku🥹🥹🥹
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 likes zkuje
watu wengi tunapenda hii series laki ata kulike mnajisahau episode ikiisha unawaza kuscol.... tuwape like hawa watu wanafanya kazi kubwa na ni nzuri sana
Alice siku akijichanganya kwa uyo kaka mwingine atajuta bora amsamehe tu John
Me wa kwanza leo nipeni like
Maskin john hadi nimelia😢😢
JOHN kaongea kwa uchungu sana na Yupo sahihi.. sk Alice akijua huyo kidume wake ndy mbaya zaidi atajuta
Kumbe John ndio Mtu wa maana na wa Kweli kwa Alice 😂😂😂😂 Maana Edwin Ni jamaa La Mishangazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alice Eddy Hana chochote Ako tu na mshangazi😂😂usiseme sikukuambia🤣🤣🫴
Leo nmewai na mm naombeni like vipenzi
Mama Alice kumbuka hata zur moja la John basi😢😢
Kazi nzuri inafunfisha na kuburudisha
John ananitia uruma kiukweli 😟
Wakwanzaaaa😅😅😅
Tamthilia nuru ni nzuri sana
Bwn Ephrahim Matowo umefanya kaz nzur mno na yenye ubunifu wa Hali ya juu inayovuta hisia za watu wengi, ila tunataman Kuona consistency baada ya hii kaz utakuja na kitu gan kitakachotuweka biz kama hii Nuru au zaid ya Nuru wahusika wote wa Nuru 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉