SUBSCRIBE NOW: 🌐 Site: https://simbasc.co.tz/ 📱 App Store - https://apps.apple.com/tz/app/simba-sc/id1564389213 📱 Play Store - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&hl=en 🔵 Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ 📸 Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania 𝕏 Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania 🎶 Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference 🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
ADVERTISEMENT
Simba nguvu moja. Ligi imekaa kimtego sana naamini viongozi wanaifahamu hii hali na kufikisha ujumbe kwa bench la ufundi na wachezaji kuzicheza mechi kwa mkakati wa aina ya kipekee yasije yakarejea ya msimu juzi Azam walioposhirikiana na Yanga kuzicheza mechi za simba ili wapate uwakilishi wa champions league na sisi tukatupwa shirikisho. Kwanza tunatakiwa kuwa na mkakati maalum wa kufunga magoli mengi kila mechi. Pili lazima tuzicheze mechi za Yanga kwa namna yeyote ile anaetembea tofauti na aliekaa tufanye jitihada tusikae kusubiri majaliwa. Bado hatuna mshambuliaji wa kaliba ya simba wakutufanya kuwa na confidence kuwa tunaweza kufanya chochote kwenye mashindano ya Africa viongozi kwa kushirikiana na benchi la ufundi kazi ianze sasa ya kutafuta mshambuliaji wa viwango na kama sehemu ambayo viongozi wanatakiwa kuingia gharama ni hili la mshambuliaji hata kwenda America kusini ikiwezekana italipa tu kama kweli ni mchezaji wa maana.
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 semaji ni moja tu
Semaji ubunifu mzuri nimependaaa☑️
Jamani salamba na ambokile hawakuzimia kwa goli lá chama
Semaji hatar 😅🤣😅🤣
Nguvu mojaaaaaaa 🦁🦁🦁
😂😂😂Semaji utawaua kaka❤
Ongezea kuwa kwa mara yakwanza ukiwa msemaji wa simba SC goli Zuri linatangazwa na vyombo vya Habari vya nje
Chamaaaaaaaaa
Naon team kama westham,Fulham na man u wameingia mawindon kutaka sign ya chota chama
na mkubali sana rabbi hume namfahamu kwa ubora wake
❤❤❤❤❤
Simba watengeneze sanamu ya simba🎉🎉🎉🎉🎉🎉 fantastic goals
Semaji wakhereee😂Bado wanapumua piga kichwani 😂Uyu ndio semaji tunayemjua 😂😂🔥🔥🔥🔥
Semajiii 🎉🎉🎉
❤❤❤
Mwanaukomeeeeeee 😂😂😂😂
Semaji ni moja tu 🎉Africa naye Alhamedy Ally 🎉🎉
Asante simba nguvu moja
Nakubali xn semaji la simba❤