Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Jamaa ana IQ kubwa sana...anyway big up
Ni ujinga kujadili uzawa badala ya kiwango cha mchezaji,wekezeni ngv kuwahimiza vijana wetu wajitume zaidi kufikia viwango vya ushindani,
MNADHANI HUYO KAMA YULE COMEDIAN WENU ALLY KAMWE HUYO COACHER
Kuna alii kamwe na wengine,, hongera sana ali🎉🎉🎉
😮A
very discussion nzuri sana
Safi ali🎉🎉🎉🎉
Mpira sio kutia huruma, waambie Hawa mnaowaita local players kwamba wanatakiwa kukaza, wanatakiwa kujituma. Hawawezi tu kupewa nafasi ya kucheza, mbona wachezaji wakimataifa ambao hawakuperfom vizuri msimu ulioisha waliondolewa kwa mkopo. Acheni kuwalealea hawa wachezaji wa ndani hivi hamtawajenga
COMEMENT HUWA ZINAFUTIKA AU....
Asante kaka umetoa shule sana
Ali kamwe uko sawa baba
Maelezo mazuri sana
Kwan arsenal hana timu ya vijana
Leo jef naona kaanza kurudi kama Yule wa mawingu studio
Hamna akili wote hapo suala la usajili ni biashara kama mtu kapewa nafasi kashindwa nafasi ya nn
Hawaelewi ukiwambia hivyo kama chakale zahabu tena msemaji wangu usitoe siri za yanga kukaa na wachezaji wa zamani ndo ambao wanaiweka timu salama
Uchozeji uchambuzi wenu
Juma Ayo kumbe huna akili kabisa leo ndiyo nimejui
Amadi wa Man utd imenchukua miaka 3 kuingia kikosi cha kwanza,kwa nn Ayo hajui Mpira kabisa?
Wachambuzi wa bongo wanachambua na mafumbo sijui ndio nn