Hiyi ya team kuwa nyingi kwenye world cup ninzuli zaidi napenda
G
gabriela.miranda2 days, 9 hours ago
JESUS IS COMING BACK.....REPENT
B
bryanmyst973 days, 3 hours ago
Uefa mbona nao michosho TU, Madrid inabebwaga sana
ross_shepherd3 days, 3 hours ago
Ni fainali za kombe la FIFA la dunia. kuongeza timu ni vema tu
R
ray_lewis2 days, 16 hours ago
64 ndiyo safi yaani kombe la mwaka huu limekuwa zuri kuliko yote....
A
angela_rodriguez3 days, 3 hours ago
Naunga mkono yote ya uefa
T
thomastempest623 days, 3 hours ago
Kweli mkuki kwa nguruwe maana yote alio yafanya marecan juu ya inchi za africa na mashariki ya kati hawakuyaona ? Au hili kwasababu lipo kwa upande wao ndo linawauma dah
S
stéphane_lagarde2 days, 22 hours ago
When others put you down you’re up is a threat to them. Don’t worry your the best and nobody can take it away from you!!
D
damien_davies2 days, 23 hours ago
SISI/MIMI KAMA SHABIKI WA SOKA, NAPENDEKEZA WAONGEZE TEAM ZIFIKE 64, TU ENJOY WOLD CUP KWAMDA WAKUTOSHA, sio siku kazaa tu linakwisha..
K
karen_larson2 days, 6 hours ago
Kifupi binafsi sikupenda additional time ktk half time...for the first time niliona tofauti na ni tofauti (-) ,Hii inaathari hata kwa wachezaji wanaporudi kipindi cha pili.
R
rolando_zayas3 days ago
Kuna nchi nyingi sana zimeongezeka tangu kombe la dunia lianze kuchezwa hivyo ni vema sana kuongeza timu kwanza ushindani ndo utakuwa mzuri zaidi
D
dawn_horton2 days, 23 hours ago
Timu ziwe hata 80 italeta maana ya kombe lenyewe
L
laurie.morgan2 days, 23 hours ago
Kuongeza timu ni bora zaidi
tracey_ramos2 days, 23 hours ago
FIFA Wako Sawa Kwa Kuongelea Timu Kuwa Nyingi. Amesahau Tu Chip iliyowekwa Ndani Ya Mpira Pia Mpango Wa Kunya Maji Nusu Ya Kipindi Chakwanza.
Waongeze timi nasi tz tutapata nafasi ya kufuzu
Hiyi ya team kuwa nyingi kwenye world cup ninzuli zaidi napenda
JESUS IS COMING BACK.....REPENT
Uefa mbona nao michosho TU, Madrid inabebwaga sana
Ni fainali za kombe la FIFA la dunia. kuongeza timu ni vema tu
64 ndiyo safi yaani kombe la mwaka huu limekuwa zuri kuliko yote....
Naunga mkono yote ya uefa
Kweli mkuki kwa nguruwe maana yote alio yafanya marecan juu ya inchi za africa na mashariki ya kati hawakuyaona ? Au hili kwasababu lipo kwa upande wao ndo linawauma dah
When others put you down you’re up is a threat to them. Don’t worry your the best and nobody can take it away from you!!
SISI/MIMI KAMA SHABIKI WA SOKA, NAPENDEKEZA WAONGEZE TEAM ZIFIKE 64, TU ENJOY WOLD CUP KWAMDA WAKUTOSHA, sio siku kazaa tu linakwisha..
Kifupi binafsi sikupenda additional time ktk half time...for the first time niliona tofauti na ni tofauti (-) ,Hii inaathari hata kwa wachezaji wanaporudi kipindi cha pili.
Kuna nchi nyingi sana zimeongezeka tangu kombe la dunia lianze kuchezwa hivyo ni vema sana kuongeza timu kwanza ushindani ndo utakuwa mzuri zaidi
Timu ziwe hata 80 italeta maana ya kombe lenyewe
Kuongeza timu ni bora zaidi
FIFA Wako Sawa Kwa Kuongelea Timu Kuwa Nyingi. Amesahau Tu Chip iliyowekwa Ndani Ya Mpira Pia Mpango Wa Kunya Maji Nusu Ya Kipindi Chakwanza.
Nyongeza ya timu iko sawa kabisa
Naunga mkono yuefa
UEFA wapo sawa sana
Mbinafsi Huyoooooo
Sina mtazamao wowote