ALITOA FIGO KISHA AKASALITIWA ππ | part 19
ADVERTISEMENT
Comments 100
nadiaaether4:
Kwa mtizamo wng. Huyu baba mdogo ni mstaarabu.
More Like This
0:35
Frooti se Red bull tak ka safarπ₯²π₯| Indian familyπ|| #shorts #indian #relatable #frooti #comedy
Comedy
0
27
2:07
KAZINI CHIZI
Comedy
751
9
9:24
HAMDALA KIUNO |Episode 61|
Comedy
1.9k
0
2:33
MAMA WA MBAGALA
Comedy
1.2k
0
23:04
NEW PRISON S2 - E13 Sniper VS Bhova
Comedy
6.0k
100
23:23
Uzalo Season 12 Episode 104 | Today 21 July 2026 Full Episode
Comedy
1.1k
0
0:40
Prison break πππππ
Comedy
4.5k
60
1:00
Ehh Banangeπππ€£
Comedy
1.4k
0
You've reached the end
Kwa mtizamo wng. Huyu baba mdogo ni mstaarabu.
Abasi kasikia naya anapewa mali zake ndio anajidai kumpenda
Abasi hanaa upendo πππ
Jaman nala usikubali kuwa na abas mdogo angu utakuja kujutia jamanππππ
Abasi analilia. Majumba ya,binti
Ningekua mimi nzompa uyo abas angekula sana makofi kwangu
Abasi kaskia abari za mirasi yajifany sas kumpenda nala
Zompa abas Hana upendo zompa
Abas analia kinafiki
Kijana analilia mali uyu
Kama nala aliweza kutoa figo na akampa abassi basi hata hiyo hati atoshindwa kuitoa naomba dua π€² nala asije kuwa na abassi tena anafata mali za mwenzake huyuuu
Kiukweli shangazi na Abbas mnamkosea huyo baba mdogo. Huyu Abbas sio muelewa kumbe ni yakurithi�??
Msimamie uyu bint aanzishe maisha yake
Huyu Abbas ni mnafiki sana huyu. Analia nini sasa na umalaya wake
Abasi huyo ni baba mkwe hakupaswa kumjibu hata kidogo. Angemwacha aongee hasira zake ziishe. Aombe msamaha. Lkn yy na aunt yake wanaona Nala kutoka figo ndio wanauwezo wa kummiliki bila wazazi kuingilia.
Abasi nimnafiki kweli sii alimuacha akaenda kwa mshangazi π’π’Leo hii eti analiyaa mjinga sana huyu abasi
Ila basi ni taira jmn et namupenda π’na yule Malaya wako kule umesahau
Wakubwa me nahisi leo nimekuwa wakwanza naombeni like simba nguvu moja God bless me ππ«‘
Baba mdogo Yuko Sahi kabisa
Jamani huyu abasi simpendi msenge uyu alafu lala utamkumbuka maneno ya baba yako uyo sio mbwana kabisa