Kwa sasa atakaa aziz k eneo ushambuliaji. Haina shida hiyo.
J
joanne.rose1 day, 20 hours ago
Azizi anaweza aka guad mpira mguuni adui asiuchukue ila okelo anaweza ila ni mlenda mlenda
P
pénélopevaleon832 days, 1 hour ago
NaMkai nani hakujui ww ni chawa wa simba huwezi kuosema simba ila ww ni yanga tu unatafuta angle za ubaya wa yanga tu kumytafuta Rais wa yanga wala siyo simba
B
brianmartin4402 days, 1 hour ago
Jana frace alikamatika haswa, alikua hakai na mpira kabisa asee wale watoto wa spain sio watu wazuri hata kidogo😂
T
trinidad_apodaca2 days ago
waulizen TFF wanaongeza usajiri kwa timu hadi 40 uwezo wa timu kumudu hizo gharama extra watawasaidia fedha, kuhudumia timu ya wachezaji 40 sio jambo dogo
G
garytaylor192 days, 1 hour ago
Kwa nini msianze simba mnaanza yanga acheni hiyo hata mtoto mdogo anajua mnatafuta mabaya yanga ili kupta sababu ya kutoa Rais yanga kit mbiyo za uongozi.
R
robertyadav6861 day, 18 hours ago
Naitwa Joseph lyamwaka nawapata kutoka sumbawanga leo mesi na washirika wake Gudu byeeee
Nawapata mbashara kutoka Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwa sasa atakaa aziz k eneo ushambuliaji. Haina shida hiyo.
Azizi anaweza aka guad mpira mguuni adui asiuchukue ila okelo anaweza ila ni mlenda mlenda
NaMkai nani hakujui ww ni chawa wa simba huwezi kuosema simba ila ww ni yanga tu unatafuta angle za ubaya wa yanga tu kumytafuta Rais wa yanga wala siyo simba
Jana frace alikamatika haswa, alikua hakai na mpira kabisa asee wale watoto wa spain sio watu wazuri hata kidogo😂
waulizen TFF wanaongeza usajiri kwa timu hadi 40 uwezo wa timu kumudu hizo gharama extra watawasaidia fedha, kuhudumia timu ya wachezaji 40 sio jambo dogo
Kwa nini msianze simba mnaanza yanga acheni hiyo hata mtoto mdogo anajua mnatafuta mabaya yanga ili kupta sababu ya kutoa Rais yanga kit mbiyo za uongozi.
Naitwa Joseph lyamwaka nawapata kutoka sumbawanga leo mesi na washirika wake Gudu byeeee