U LIVE: ALLY KAMWE KUFUNGUKA KILA KITU LEO/ SIMBA SC KUONESHA MAAJABU CECAFA/ HISPANIA VS UFARANSA
U LIVE :
ADVERTISEMENT
Comments 17
grégoire_louis:
Uzinduzi KATORO
More Like This
1:04
What's happened to Diego León? 🤔🇵🇾
Sports
9.7k
0
25:15
Lionel Messi VIP Camera vs England (15/07/26) | 1080p HD
Sports
22.3k
100
14:56
1ይ ዕለታዊ ዜና ስፖርት ሓሙስ 16 ሓምለ 2026፦ 5 ትዕዝብታት ዓወት ኣርጀንቲና...ክንዲ ሜሲ ኣብ ኲዕሶ እግሪ ዝጸለወ መን ኣሎ...? // ቱከል...?
Sports
3.1k
100
0:30
New Footage Explains Why BELLINGHAM Hit Barco #worldcup2026
Sports
5.0k
100
6:22:42
🔴 RADIO | West Indies v New Zealand | 3rd ODI
Sports
186
0
0:13
Messi Was Confused By India's 2 Stars 😭 #shorts
Sports
195.4k
0
4:27
NRL 2026 | Panthers v Broncos | Match Highlights | Round 20
Sports
2.3k
100
2:55
被关了两年的“禁 闭”,上场就是一匹黑马 #大熱門 #感人壹幕 #pets #影視解説 #cute #monkey #animals #搞笑视频 #cat #搞笑
Sports
7.8k
100
You've reached the end
Uzinduzi KATORO
Kweli mnachokisema ila YANGA kilicho wafelisha niusajili inatakiwa wa fanye kweli kwenye usajili wa msimu unao By lilo mweusi toka nzega town
Simba walishika nafasi ya mwisho makundi CAF msimu uliopita. Tukumbushane.
Mbona mwaka jana Simba kashindwa kwenda mbele? Huyu ana tuletea upenzi wake na Simba wala hana hoja. Kwa maneno yake anataka kutuaminisha kuwa Simba wana uzoefu, sasa huo uzoefu wao mwaka jana ulishindwa vipi kupeleka mbele? Aache huo upuuzi wake. Yanga ndio timu inayo onyesha kusonga mbele kadri inapozidi kushiriki.
Nice
🔥🔥🔥
Alikamwe ni mchambuzi ambae kwasasa hakuna wa kumfikia kwanTanzania hii🎉
Uyu kocha wetu wa viungo kwakwl angeenda tuu😢
SIMBA NI MAVI SPORT CLUB
Hahahahaha muongo san huyu
Kinacho nivutia zaidi katika hii interview ni vile iko na watu wako na akili timamu,wanapana mda mtu kueleza vitu vizuri sio kudakiana juu Kwa juu
brooo Acha unazi kaleta nini achaupuuzi broo
Hatukuwa na msimu mzuri ila msimu huu unaoanza aisee mnyama jipange zile sita mfululizo zinarudi tena
SIMBA PAMPES SPORT CLUB
Ally kamwe nimekuamini unajua mpila hakika yanga hatupwaswi kukuacha hata kidogo
NIMEGUNDUA VIJANA WA SASA WANADHANI WAZEE HAWANA AKILI
kama simba.wanajua kuzicheza hizo mechi kwa nini msimu uliopita wasijikusanyie hizo point zote za nyumbani na kufuzu? jibu walikutana na timu zilizowazidi na hawakuwa na kikosi bora. simba imekuwa na bahati ya kukutana na vibonde. kwa lile group la yanga, rabat, ahly na jska ni timu gani ya tz inayojua kuzicheza mechi zake ingefuzu? na sio tz tu, sub Saharan Africa yote ukitoa South Africa? wachambuzi mjifunze kujenga hoja kujitofautisha na mihemuko ya mashabiki.