ESMA "DIAMOND ANAWATOTO WENGI SANA SIO WANNE TU"
ADVERTISEMENT
Comments 57
christopher_moon:
Shule kitu cha maana sana
More Like This
0:31
#funny #kpopdemonhunters #kpop #shorts #funnyshorts #comedy
Entertainment
114.6k
100
0:22
this girl took her friend down with her 😂❤️ #usa
Entertainment
15.4k
43
0:21
TOP 5 Times Zlatan ROASTED Eliminated World Cup Teams PT 2💀😂
Entertainment
69.9k
0
0:26
bro turned into iShowLips 😂😂#ishowspeed #edit
Entertainment
70.0k
100
0:58
Testing my family’s bunnies with this cup jumping game, and honestly I was shocked!!😳🤯🙌
Entertainment
23.5k
100
0:31
YAW DABO JUST LANDED IN GHANA
Entertainment
1.1k
39
0:35
Sindhu Bairavi Kacheri Arambam | 16th & 17th July 2026 - Promo
Entertainment
18.0k
72
0:14
@michaeldrake21
Entertainment
35.1k
0
You've reached the end
Shule kitu cha maana sana
olewa kwenye hii familia au ulike comment yangu😂😂😂
Kumbe kufa ataanza diamond e
Huyu Esma ana uwezo mdogo wa akili, kwanza nani kakuambia ataanza kufa yeye kabla yako? Pili unaposema diamond ana watoto wengi zaidi ya ishirini huko nje!!! huoni kuwa unachokisema kina athari kwakuwa watu wataamini diamond ana watoto ambao amewatelekeza? kitu ambacho mimi naamini umeropoka tuu jambo ambalo wala hauna uhakika nalo.
Hi familia hapana😢😢😢
Tusema hata uyo wanne humjui usibabaishe
Mimi huyy dada simulewagi kabisa
Kwahiyo Esma ye anajua dimond ataanza kufa sio😅
Sasa we unajuaje kam utaanza ww?
Nachoka Mimi Yani mtu anayua mwezake anatangulia subhanallah mungu tulinde na mawazo yetuna midomo yetu😢😢😢
wale awapendi inlaws juu ya pesa za diond.iiiiii familia italipia ya zuchu
Unajisahaulisha kwani mtoto wa hakisa siuliletewa pale dukani kwako mpk watu wakajaa kwny vioo nje leo humjui ktoto
Ai
Hiyo ndo sifa ya Mwanaume sasa Piga mimba tu😂
Kumbe wa kufa ni diamond2
Mnakaza vichwa sana mnaosema akianza kufa yeye...lengo lake ni kuonesha tatizo lililopo...Hata afe esma mwanzo watoto hawataletwa ?
Yaan hii familia ni mtihani sana. Ukisema ni uswahili ukisema ni roho ya kwanini yaan sijui inawekwa kwenye kundi gani😂😂😂😂😂. Mama ana wakwe zake ansowqpenda dada ana wifi zake. Mmmmh mtihani sana kwa mke wake Dai
Thank you Shangazi we know you ❤
Yudaaaaaaa
Audhubillah 😢😢