0:00
6:21
6:21

MCHEZAJI WA MAMELODI AFARIKI DUNIA KUJINYONGA, MAPYA YAIBUKA UKWELI HUU HAPA

Sports

🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 𝐍𝐄𝐖𝐒 :🕊️ R I P JAYDEN ADAMS ( 25 ) 😢Nyota wa Mamelodi na timu ya taifa ya South Africa, Jayden Adams (25) amefariki dunia leo. Kiungo huyo amefariki dunia siku chache baada ya kushiriki fainali za kombe la Dunia, Marekani lakini mpaka sasa chanzo cha Kifo chake hakijawekwa wazi. 🗣️🙆 Ripoti zinasema Jayden Adams aliingia bafuni Kwake, akafunga mlango na kujinyonga. SAUTI @farhankiham KAMFOLOW INSTAGRAM

ADVERTISEMENT
Comments 14 nicholas_marsh: Uko sahihi sana kaka