🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 𝐍𝐄𝐖𝐒 :🕊️ R I P JAYDEN ADAMS ( 25 ) 😢Nyota wa Mamelodi na timu ya taifa ya South Africa, Jayden Adams (25) amefariki dunia leo. Kiungo huyo amefariki dunia siku chache baada ya kushiriki fainali za kombe la Dunia, Marekani lakini mpaka sasa chanzo cha Kifo chake hakijawekwa wazi. 🗣️🙆 Ripoti zinasema Jayden Adams aliingia bafuni Kwake, akafunga mlango na kujinyonga. SAUTI @farhankiham KAMFOLOW INSTAGRAM
ADVERTISEMENT
Uko sahihi sana kaka
Rip
Rip to him
Juzi nilivyoona dakika 1 ya ukimya kwenye mechi ya World Cup kuhusu kifo chake sikujua kama ni yeye. Nilidhani ni mchezaji wa zamani
IS TRUE 👍 KAKA
Meseji kubwa sana
WACHE WAFE USITUZINGUE. WWNATUHUSU NINI SISI WEWE
Anseeee brother umezugumza vzl sana
R I p 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
We mwongo nani kakwambia kajinyonga?
Wanarogana hawa watu
Acha ajinyonge wasause nnyoko sn
TENGUA KAULI WW SIO DUNIA BN MBONA WW AUPO MSIBANI😂😂😂😂
DUNIA HAIOMBOLEZI WANAO. OMBOLEZA NI HAO WATU WA MAMELODI. NANI ANAOMBOLEZA KWANINI UITAJE DUNIA