MANARA AHAIDI AHADI HEWA YA MILIONI 40 KWENYE BIRTHDAY YA MAMA DANGOTE
#7MEDIA #SUBSCRIBE
ADVERTISEMENT
Comments 33
harryjames211:
Sifa 😂 tu, Kweli kwenye kitu kinakwenda kitu, wakati kuna m…
More Like This
21:24
MSHKAJI WANGU | PART 24
Entertainment
3.6k
0
20:20
KITANA [EP 53] Traditional Movie ❣️ ❣️❣️ ##pasarbrand #movie #film #traditional
Entertainment
6.7k
100
1:55
He Ran Over My Dog's Tail 😡
Entertainment
63.9k
0
1:52
sick m4
Entertainment
22.3k
0
2:59
Boy Saved Himself from Evil Stepmom 😱#shorts
Entertainment
3.3k
49
0:25
ME AS A KID WHEN SOMEONE NEW CAME TO MY HOUSE #shorts #relatable #comedy
Entertainment
126.9k
100
0:28
Tom Holland Hates Corn Dogs
Entertainment
46.0k
100
0:39
Ranking the Best Mochi Making Moments 🤣🥀💀
Entertainment
35.1k
0
You've reached the end
Sifa 😂 tu, Kweli kwenye kitu kinakwenda kitu, wakati kuna mayatima na wajane wanataka msaada hamuwapi, Kisha allah awanusuru, mkipata maradhi mnaanza kuchangisha mitandaoni pesa za kwenda India kimatibabu. Allah atuhifadhi na kila shari
HANA HELA HIZO😢😢😢
Huyu kalewa baada ya kumwona zai😂😂😂😂 anajua anasema m4😂😂😂
Sasa jamani si msaidie hata wagonjwa huko mahospitalini wanateseka hivyo na wengine wako nyumbani hawana wakuwapeleka hospital hawana fedha mnakuja kumimina maji baharini hii imekaaje?
Mtakuja muumwe msije mkaanza kutusumbua
Ivi Mungu azidi kutusamehe Kuna watu wanayitaji msahada Ila Pesa inatoka kwenye mambo hovyo
Aaaa wapi danganyatotoz
Sio kweli uwongo
Mh..sanaa mpaka kwenye jambo serious
Akachukue wapi.!? "Baba Levo" baana😂😂
sema maisha hayako fair saana yaan sis tunahangaika kupata mtaji angalau wa laki mbili tu lakn n kipengele ila kuna watu wanazawadiana 40m daa😢😢😢
Ila baba levo
Mzee Abdul yupo wapi?
😂
Ahadi hewa😂😂😂😂
Sio kweli ubavu huo hana😅😅😅😅
Za nin M . 40
Zaylisa alikuwa😂😂
Ila Baba levo noma kamshushua pale pale tapeli uyu...
Diwani mzinifu