Kocha Manqoba Mngiqithi (55) Raia wa AFRIKA Kusini ametangazwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC akitokea Klabu ya Gorden Arrows ya Afrika Kusini. Mngiqithi ana uzoefu mkubwa wa mashindano ya CAF na Ligi za kiafrika kutokana kufanya kazi na Klabu ya Mamelod Sundowns kwa muda mrefu toka 2013 Hadi 2024 akiwa anashika nafasi mbalimbali.
ADVERTISEMENT
Karibu huku kwetu Yupo stiv baker ameanz na kombe tyr la CRDB sasa Wacha nae aanze kazi tuone🇹🇿🙌
Welcome coach
Tunakupokea kocha wetu mpya❤❤
Mtani kwa kusafiria nyota ya mnyama 😂
KWANI YULE MWINGINE KASHAONDOKA😂😂😂