MIRAJI|NATAMANI INNO AENDE YANGA TUKOME KUFANYA UJINGA|STYLE WALIYOTUMIA YANGA KUTANGAZA KOCHA KALI
ADVERTISEMENT
Comments 74
carol_atkinson:
Leo kaka miraji kaongea ukweli pale Simba hata chama Kwa Sa…
More Like This
1:16
Voici les 5 pénaltys les plus irrespectueux de l’histoire du football.
Sports
19.6k
27
0:34
BARAKA YANGA AWALIPUA SIMBA\WYDAD KUMTAKA SELEMANI MWALIMU.
Sports
167
0
9:07
Welcome To Arsenal, Christos Tzolis!
Sports
2.3k
0
0:14
leonor's reaction on players happiness
Sports
63.9k
100
0:27
How Athletes Win By Falling...
Sports
0
0
0:10
Louis Vuitton Was Crying in the Corner after this😂 #fifa #louisvuitton #messi #funny #shorts
Sports
115.2k
100
0:23
Messi or Ronaldo Who's Right 😳🥤
Sports
48.0k
100
0:19
Ronaldo Showed How It's Done🥶
Sports
103.1k
100
You've reached the end
Leo kaka miraji kaongea ukweli pale Simba hata chama Kwa Sasa hawezi kumuweka inno Simba wakina maema ,kante hawana uwezo wakumuweka bench angalia jamaa akiingia kipindi Cha pili kwanza hapotezi mpira na linakaba kweli viongozi na Mo wanatuhujumu
Dah miraji hebu jaribu kuongea na uongozi wambakishe loemba
ww una mapenzi binafsi na inno lkn usichojua mpira ni kupasiana inno ana mapungufu kwenye timing ya pass..anaweza ku release pass off timing..sanaa ya mpira Haina tija kama Haina matokeo chanya
😂😂😂😂😂❤❤❤ ila miraji😂😂😂😂
Wakwanza leo
Mirajiiiiiii inno nimchezaji sana kuliko maema wao huyoo
Miraji nakuunga mkono yanga wamsajiri Inno,Na akisajiriwa yanga mm nitaacha kwa muda kuishabikia SIMBA,Niupumbavu sana huu
Ino akienda yanga Viongoz wa Simba watakimbiana
INNO ABAKI SIMBA SC. waache mawagawaga
Watu wa mpila pamoja sna Mungu awape wepec
Miraji mara 1
Wakwaza Leo 🎉😂
Kweli ino mimi namkubari
Injinia sikia maneno ya huyu Mwamba yafanyie kazi baba!!!
Yule INNO mtu na nusu Simba wakimwacha wamefeli pakubwa sana
Inno ni mtu wa Kaz 😅 apoh simba watajilaumu
Big up sana MWAMBA WA AFRICA Tupe nondo
❤❤❤❤
Miraji Yanga sio ya majaribio
Miraji naomba uniulizie kopo kubwa la maziwa ya,Unga niktmie hela ununue nakupata vzr hapa Muscat nakukubl sana