MAKONDA AKATALIWA
ADVERTISEMENT
Comments 68
hugo.ozuna:
Nchi ngumu sana hii watajifunza
More Like This
0:29
Allah help thi save him#viralvideo #trendingshorts #edit#shorts#ai #prayer #shortvideo #comedy #reel
Comedy
114.4k
0
3:00
NDOTO YA KILA LAST BORN NI KUA NA DADA KAMA HUYU #swahili
Comedy
1.4k
0
1:22
Thanks for 19milion viewers 🙏😂😂😂🙌 #funny #funnyvideo #comedy #comedyshorts
Comedy
818
0
11:03
HAMDLA KIUNO |Episode 62|
Comedy
2.1k
0
0:25
shos amepatana na wa rika yake 😂😂😂
Comedy
475
0
1:10
Mwizi mwenye viwango vya chini 😂😂😂 #babaanjera
Comedy
1.8k
0
1:33
Ni mbaya mazee🤌😅😅😂…
Comedy
1.5k
0
2:59
UJINGA #youtubeshorts #videoviral #foryou #tranding
Comedy
2.9k
0
You've reached the end
Nchi ngumu sana hii watajifunza
Nafikiri bado sindano hajawahingia
Majina ya viongozi yananuka damu
Watu Bado wana hasira moyoni Serikali hijitafakari
mambo ya starehe na hao wasiotakiwa mnawataja wann..
Nchi imegawanyika vipande vipande yajayo hayafurahishi
Dilli tufanye mziki
Kosa la kifalsafa: Alipanda jukwaani kama msanii, akaanza kuongea kama katibu mwenezi. Mashabiki wakamkumbusha falsafa fupi: “Kiingilio chetu ni cha burudani, uchawa ni huduma ya ziada isiyotakiwa hapa.” ‘Ziiiii' safi kabisa!
Viongozi wetu ni muda wa kujitafakari, hii sio ishara nzuri kwa Taifa
Makonda ni muuaji huyo hatakiw kupewa airtime
Acha uchawaaa, fanya lililokupeleka
Dah aisee
Hali tete 😂😂😂
Ndobijie serikal kuwa watu bd wanahasiraa...hawqitaji kbs kiisu mtu yyt wa serikali..
Viongozi wanapaswa liwe fundisho kubwa sana hili
Show ya Jana ilikua ngumu sana Tena sana inavoonekana baadhi ya watu walioingia humo wametibua mambo.
Wanafunzi haooooo
Mmekata kwa manufaa yenu matako yenuuuu
Yani nyie mnaingiza siasa
Hapa ndio wajue kuwa watu wamechoka wanadhani ni JOHNA HECHE kumbe nyuma kuna kundi kubwa sBa.