Kumsikiliza Mangungu inahitaji nguvu nyingi ...uwezo wake ni mdogo sana wa kuelezea
M
marthahaven42 weeks, 3 days ago
Jemedari ni mmoja2
L
leonard_bender2 weeks, 2 days ago
Leo ndio nimejua kwa nini walitaka kumpiga...
kristen_brooks2 weeks, 3 days ago
Huyu Mangungu kama hajielewi vile!! Miaka hiyo ya '70-80, unazungumzia kuhongwa, utathubutu? Zama hizi hata ile kauli ya Kambarage kwamba Ikulu ni mahala patakatifu ni msamiati, wanakaribishwa watu wachafu usipime! Fikiria lile jamaa nene sijui lilitoka Zimbabwe, liko na usafi kiasi gani cha kukanyaga zuria la Ikulu? Hiyo TAKUKURU mnaijua, mbona CAG kila mwaka anaibua ufisadi lkn hakuna anayebambwa? Si mmeona yule afisa alielezwa kuhusu kauli ya Prof. Assad, unajua huyo bwana alijibuje?
maríaluisa_lemus2 weeks, 3 days ago
Hana uwezo wa kujieleza huyu mzee
H
hans-heinrich.segebahn2 weeks, 3 days ago
Mimi simba ila kiukweli alie jisadia kama nikweli hana tofauti na wale walio ambiwa waandamane tarehe 29 oktoba
H
hugo.ozuna2 weeks, 2 days ago
Huyo mzee mwoga hawezi kusema ukweli
natashabeasley8902 weeks, 2 days ago
Wachambuzi wanamhoji mwenyekiti wa klabu yao ni sawa na ka mkutano kadogo ka klabu kamefanyikia studio😂😂😂
O
océane.blin2 weeks, 2 days ago
Mangungu ndiyo mwenyekiti bora kuwahi kutokea Simba. Mitano tena😂🎉
M
meganmccarthy2682 weeks, 2 days ago
Namkumbusha Mangungu kwamba hata zamani kulikuwepo tuhuma za marefa kupendelea timu flani. Kwa mfano, marehemu Manyoto Ndimbo alikuwa anatuhumiwa kuipendelea Yanga, na Simba walikuwa wanamlalamikia
S
steven.leon1 week, 6 days ago
We mzee hiyo miaka unayo itaja maisha ylikuwa very simple kulingana na sasa pia fedha yetu ilikuwa very strong
A
adán.cuellar2 weeks, 2 days ago
Huyu anajichanganya sana
B
bertrand_charpentier2 weeks, 1 day ago
Mangungu ni Mwanasiasa hamumuwezi
A
alix_legendre2 weeks, 3 days ago
Halafu baada ya tukio lile walielekea wapi? walishinda siku zima na uchafu wao? unbelievable!
A
amanda.knight2 weeks, 2 days ago
Paredi nzuri lakini iliharibiwa na mavi yaani Sasa hivi ukimuona shabiki WA Simba kuwa makini anaweza kukupaka kitope maana hawakua na maji ya kutawaza
M
maytemarroquín7192 weeks ago
Takukuru wamtafute Mangungu ana kitu, anaonekana ana ushahidi wote
L
leon_williams2 weeks, 3 days ago
Tff na simba wanajiamulia mambo😂😂😂
victoria.solano2 weeks, 3 days ago
Mangungu mjanja janja
D
dalton_gentry2 weeks, 3 days ago
Maelezo ya Mangungu siwezi kuungana nayo Kwa kuwa hata mchezo wa Machi 8, Simba ndo Timu iliyofanya mchezo uhailishwe haraka haraka Bila kikao chochote SS sijaelewa fair competition anayoisema ni ip iyo. Sawa Simba na Yanga ni watani lkn ni utani gani shabiki wa Timu pinzani kupingwa uwanjani Kwa maelekezo ya viongozi wa wa Timu.
Mwenyekiti wa VINYESI FC
Kumsikiliza Mangungu inahitaji nguvu nyingi ...uwezo wake ni mdogo sana wa kuelezea
Jemedari ni mmoja2
Leo ndio nimejua kwa nini walitaka kumpiga...
Huyu Mangungu kama hajielewi vile!! Miaka hiyo ya '70-80, unazungumzia kuhongwa, utathubutu? Zama hizi hata ile kauli ya Kambarage kwamba Ikulu ni mahala patakatifu ni msamiati, wanakaribishwa watu wachafu usipime! Fikiria lile jamaa nene sijui lilitoka Zimbabwe, liko na usafi kiasi gani cha kukanyaga zuria la Ikulu? Hiyo TAKUKURU mnaijua, mbona CAG kila mwaka anaibua ufisadi lkn hakuna anayebambwa? Si mmeona yule afisa alielezwa kuhusu kauli ya Prof. Assad, unajua huyo bwana alijibuje?
Hana uwezo wa kujieleza huyu mzee
Mimi simba ila kiukweli alie jisadia kama nikweli hana tofauti na wale walio ambiwa waandamane tarehe 29 oktoba
Huyo mzee mwoga hawezi kusema ukweli
Wachambuzi wanamhoji mwenyekiti wa klabu yao ni sawa na ka mkutano kadogo ka klabu kamefanyikia studio😂😂😂
Mangungu ndiyo mwenyekiti bora kuwahi kutokea Simba. Mitano tena😂🎉
Namkumbusha Mangungu kwamba hata zamani kulikuwepo tuhuma za marefa kupendelea timu flani. Kwa mfano, marehemu Manyoto Ndimbo alikuwa anatuhumiwa kuipendelea Yanga, na Simba walikuwa wanamlalamikia
We mzee hiyo miaka unayo itaja maisha ylikuwa very simple kulingana na sasa pia fedha yetu ilikuwa very strong
Huyu anajichanganya sana
Mangungu ni Mwanasiasa hamumuwezi
Halafu baada ya tukio lile walielekea wapi? walishinda siku zima na uchafu wao? unbelievable!
Paredi nzuri lakini iliharibiwa na mavi yaani Sasa hivi ukimuona shabiki WA Simba kuwa makini anaweza kukupaka kitope maana hawakua na maji ya kutawaza
Takukuru wamtafute Mangungu ana kitu, anaonekana ana ushahidi wote
Tff na simba wanajiamulia mambo😂😂😂
Mangungu mjanja janja
Maelezo ya Mangungu siwezi kuungana nayo Kwa kuwa hata mchezo wa Machi 8, Simba ndo Timu iliyofanya mchezo uhailishwe haraka haraka Bila kikao chochote SS sijaelewa fair competition anayoisema ni ip iyo. Sawa Simba na Yanga ni watani lkn ni utani gani shabiki wa Timu pinzani kupingwa uwanjani Kwa maelekezo ya viongozi wa wa Timu.