Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA
ADVERTISEMENT
Jemedari the best unajib kwa fact na sio uchokonoaji✊✊✊
Kwani makocha wa timu za taifa wanapata vipi mda na ni mda gani wanakaaga pamoja Ili wakiwashe?
Dada angu Kama mumemkat flan hivi mpaka mudi yake imepungua
Hans hans hans nakuita mala 3 chunga maneno yako😭😭😭😭😭😭😭😭
YESU NI MUNGU KAUMBA DUNIA MBINGU NA WATU WOTE MLIOKAA STUDIO
Muulize hans baada ya hapo yanga kuwa na intesity ya juu kuliko far rabat ikawaje mbn hao far rabat wamefika fainal na yanga kuishia makundi?
Kweli kabisaa
Mpaka kwenye wachezaji wametuzidi
Kwenye sindano hapo umepigaje?
Aaaaaaaaah matamasha lazim yawep axeeeee
Sasa Jemedali mbona kama unajibu kama unakomoa,mbona kama mnakomoana
hansi acha kudhani mambo utauponza nakusikilizaga ila leo umeropoka ko angalia mdomo tupo mtaani wote
Mnatumalizia tu mb mnavyoongea havieleweki
Wewe Dada vaa vizur hapo upo ofisini
Hans Raphael umesema Ligi ya Misri imemalizika mapema na walikuwa wanaendelea na Afcon na Ligi ya Misri ikiendelea Huoni hii ndiyo Sababu ya Ah Ahly kukosa na Nafasi ya Kucheza Caf Champion League?? Kwa sababu Ah Ahly ina wachezaji ni wengi kwenye Kikosi cha kwanza cha Misri na amekosa Ubingwa ??
Jemedar kama ungov
Aulizwe tuu kwa mustakabali wa soka letu.. ni timu gani?
saf jemedari😂😂😂
Hans, unaongea kama vile wachezaji hawajui kama hii ni kazi yao, kwanini warudi wamenenepa. Time zinawapa wacheza warning kuhakikisha wanachokula na kuendelea kufanya mazoezi, huwezi kurudi kazini umenenepa, not acceptable. Ni kama useme ukichukua likizo ya wiki moja wewe, unarudi kazini na kulala ukiwa hapo, kwasababu ulilala sana wakati wa likizi. These players are professional and should know how to stay healthy
Hans ëlewa hicho ni chombo cha habari umëkozèa omba radhi umekozea sana,kusema timu ža tz wanatumia sindano