MBWADUKE: Mrithi wa Dube Yanga? Mwili jumba afu' anatupia balaa! Ni top scorer goli 27 mechi 18 tu!
#soccer #yanga #simba #realmadrid #
ADVERTISEMENT
Comments 25
georgesnight77:
Wakwanza hapa kutoka nguruka kigoma
More Like This
0:20
10/10 Yamal Skills 🥶
Sports
63.4k
0
20:03
MWAMBA HUYU HAPA....!!! SALAMBA KILA KITU KIKO WAZI SASA , GIRIMUGISHA NA YANGA SC
Sports
109
0
15:13
MCHOME: YANGA HII PICHA LA KUTISHA! KWA BENCHI HILI TUMKUMBUSHE HERSI ANACHEZA NBC SIO BUNDERSILIGA
Sports
128
0
15:34
🚨DOGO YUSUPH,APAGAWA IBRAHIM DOMBIA KUTUA SIMBA,AWAHURUMIA MABEKI 🤣
Sports
122
0
1:13
MAZOEZI YA KWANZA NCHINI RWANDA | CECAFA
Sports
457
0
16:26
🛑LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA
Sports
0
0
8:17
SIMBA SC WATIMBA MAZOEZINI NA JEZI ZAO MPYA ZA CECAFA KAGAME CUP 2026, UNA UPA MAKSI NGAPI UZI HUU?
Sports
578
0
19:14
MCHOME MAPOVU ACHAFUKWA SIMBA KUSHITAKIWA NA WYDAD/HII NI AIBU/YAMGA WAMEJIBU KIKUBWA MAPIGO
Sports
307
0
You've reached the end
Wakwanza hapa kutoka nguruka kigoma
Kama ni kweli basi tutegemee yale yale ya akina Balla conte na Doumbia. Hivi GSM ameshindwa kumleta Girumugisha wachezaji wenye ubora ?. Ligi ya Syria ina ubora gani sasa!?.
Mm naswali moja 2
MUNGU atusaidie tu yasije kuwa ya bwana boyeli
Uwiii gsm tuwe waangalifu na usajili
Mahop siyo level ya Yanga. Hersi afanye usajili wa maana siyo kubabaisha babaisha. Kwa miaka miwiwli amekuwa anatemwa ndanio ya nusu msimu tu.
Mbona anamiaka mingi sana hivyoo aananitishaaaa 31 akhaa kwaiy wataka kuja kuzeekea kwetu😢😢😢
Atawafaa sana kwa ligi ya ndani
hivi Walid aka Mzize si anarudi kwa kishindo???? Au😮😮😮😮
Ligi ya SYRIA! Hana kiwango cha kuchezea WANACHI
Mh! Yanga viongozi chondechonde!! Usajili uwe makini sana sajolin wachezaj wa kuisaidia tim ndan na kimataifa
Nimesha mwona, yaani hata wachezaji wawili wakimsukuma hasogei hata inci 1
Kimataifa hawa ndo wanakuja kufeli
Usikute kapunguza miaka maana waafrika kwa uongo atakua na miaka 36 huyo
Syria ni bonanza hakuna ligi,labda wampe miezi sita tu ya uangalizi
Hilo jamaaa mbona linfanana na moringa 😂😂😂kabisa
Joseph Guede
Bado hakuna mtu hapo.
Hamn mchezaj hapo
Kama ndo sifa zake hizo Bora kubaki na depu