HAMIS KABWE KABWE AIBUKIA USAJILI WA SHALULILE NA FEI TOTO SIMBA BALAA MPYA MJINI
ADVERTISEMENT
Comments 5
victoire.lucas:
Hujui unapotosha soma katiba ya simba. Yanga hawana katiba.…
More Like This
0:26
The Yamal Underwear Situation Is Crazy 😭
Sports
19.0k
0
4:17
FP2 Highlights | 2026 Hungarian Grand Prix
Sports
17.0k
0
0:20
10/10 Yamal Skills 🥶
Sports
63.5k
0
20:03
MWAMBA HUYU HAPA....!!! SALAMBA KILA KITU KIKO WAZI SASA , GIRIMUGISHA NA YANGA SC
Sports
110
0
15:13
MCHOME: YANGA HII PICHA LA KUTISHA! KWA BENCHI HILI TUMKUMBUSHE HERSI ANACHEZA NBC SIO BUNDERSILIGA
Sports
128
0
15:34
🚨DOGO YUSUPH,APAGAWA IBRAHIM DOMBIA KUTUA SIMBA,AWAHURUMIA MABEKI 🤣
Sports
122
0
1:13
MAZOEZI YA KWANZA NCHINI RWANDA | CECAFA
Sports
457
0
16:26
🛑LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA
Sports
0
0
You've reached the end
Hujui unapotosha soma katiba ya simba. Yanga hawana katiba. Katiba ya simba imepita na uendeshaji unafuata makubaliano na mwekezaji (memorandum of understanding) ambapo kulingana na.sheria ya makampuni. Mwanachama mwenye hisa nyingi ndiye anakuwa mwenyekiti wa.Bodi. Sheria hii imewekwa ili mwenye fedha aweze kulinda pesa zake. Utaratibu huu ndio ulikubaliwa kwenye memorandum of understanding na serikali haingilii. Hata kwenye kikao serikali iliweka.wazi kuwa muundo wa uendeshaji ni jinsi walivyokubaliana. Ninyi wachambuzi muwe wasikilizaji msipende kupotosha.
Eti kamwe anatembea namafuta😂😂😂😂😂😂
Napenda kusikiliza wachambuzi ila wakisema uongo Huwa najisikia vibaya sana , Kwa Nini unasema uongo na kupotosha uma Maswala ya katiba siyo maswala ya maoni ila ni vipengele na vifungu vya katiba (tusomee vifungu tuone kama vinasema kama unavyosema)
Ushauri sasa hv Mangungu apumzike
Wanachama ndiyo wanaoamua wajiedesheje,hiyo ndiyo kauli ya serikali. Someni vizuri katiba mpya ya Simba harafu ndiyo mtoe ufafanuzi wenu vizuri