MIRAJI|KWELI SIMBA NI YA KUVUNJA KIBUBU KWA IDDY NADO?KWA HESHIMA YA SAMATA SIO WA KUAGWA INSTAGRAM
ADVERTISEMENT
Comments 33
andrew_aguilar:
Miraji $ Chagamba Mungu awalinde 2po pamoja watu wangu
More Like This
0:20
10/10 Yamal Skills 🥶
Sports
63.4k
0
20:03
MWAMBA HUYU HAPA....!!! SALAMBA KILA KITU KIKO WAZI SASA , GIRIMUGISHA NA YANGA SC
Sports
109
0
15:13
MCHOME: YANGA HII PICHA LA KUTISHA! KWA BENCHI HILI TUMKUMBUSHE HERSI ANACHEZA NBC SIO BUNDERSILIGA
Sports
128
0
15:34
🚨DOGO YUSUPH,APAGAWA IBRAHIM DOMBIA KUTUA SIMBA,AWAHURUMIA MABEKI 🤣
Sports
122
0
1:13
MAZOEZI YA KWANZA NCHINI RWANDA | CECAFA
Sports
457
0
16:26
🛑LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA
Sports
0
0
8:17
SIMBA SC WATIMBA MAZOEZINI NA JEZI ZAO MPYA ZA CECAFA KAGAME CUP 2026, UNA UPA MAKSI NGAPI UZI HUU?
Sports
578
0
19:14
MCHOME MAPOVU ACHAFUKWA SIMBA KUSHITAKIWA NA WYDAD/HII NI AIBU/YAMGA WAMEJIBU KIKUBWA MAPIGO
Sports
307
0
You've reached the end
Miraji $ Chagamba Mungu awalinde 2po pamoja watu wangu
Chagamba na Miraji bhanaa 😂😂😂
Jamaaa nakubari sana 😂😂
Aweeeeeeeee milaji & chagamba
Yanga bingwa
Ilaa mirajiii wa bwana wachambuzii wetu waredio iziii zetuu nimachawaaa sanaaaa leo mirajiii unachumbuaaa samataaaa paka umekumbushaaa mezembe ya samataaaa duuu awa wenyeredio awakuoniii nyiee watuuuu wapiraaaa duu mungu awanyiee wepes chagamba namirajiiii tuwaone kwe redio kubwaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝🤝🫶🫶🫶🫶🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kweli kabisa Samatta hapewi heshima anayostahili
Miraji na Chagamba kwa nini katika manyangunyangu hamzungumzii "kwa nini simba Kila ukianza msimu wao wanaanza na vilabu ambavyo havikukamilisha usajili au havijakamilisha taratibu" na kulazisha timu hizo zicheze pungufu. Mwaka huu tubadilishe ratiba ya "copy and paste".
Msimu huu hakuna timu itavujisha siri za wen zake wote watakua bize na tim zao
Miraji yupo sahib kabisa
Yanga bingwa! Acha kutuzuga, Samatta wa kawaida usimlinganishe na watu kama akina Okocha, kanu, Toure alichofanya Samata kwetu ni faida kwake ila kwa Taifa hakuna alichofanya Ukisema hivyo vipi Kanavaro, Bocco, yondani, chuzi, boban, Kaseja nk hao wote walikipiga vya kutisha mbona wapo kimia?
Chuma 1st😂😂
Miraji Leo umeweza 🎉🎉
Oyaaa weee Maramoja nakubalii mno kwa madini mengi yaliyojaa ujazo wa viwango vya fifa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wacheze Cecafa si pre season tayari hiyo
Kumbe nyie jamaa Mnalindwa ulinzi mkali hivo duu kote mmezungukwa na FBA. Mizee imefurahi hiyo
Alison Beka Kafungwa na Samata kidume
Mchezaji bora wa mwak Africa Congo wanayo,mputu aliichukuwa mwaka 2009
Bro kwa samatta lazima iwe hivo, haiwezekani haagwe Instagram, kwa mkapa Yani hatake asitake, na ili swala lazima lisemwe zaidi, samatta lazima ajengewe sanamu, mwana FA alifanikishe ili.
Chagamba muulize milaji mabululu yupo wapi