Je, rais wa Marekani anaweza kubadili adhabu ya Kombe la Dunia? Hilo ndilo swali linalotikisa dunia ya soka. Baada ya mshambuliaji wa Marekani Folarin Balogun kuonyeshwa kadi nyekundu dhidi ya Bosnia alitakiwa kukosa mchezo wa hatua ya 16 bora dhidi ya Ubelgiji. Mwandishi wa BBC Nasteha Mohamed @naste6295 na taarifa zaidi - - #bbcswahili #kandanda #kombeladunia2026 #foryouシ Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
ADVERTISEMENT
Tatizo hii Dunia inawaabudu marekani sijui kwanini hakika Iran ndo nchi pekee itakayobaki na heshimaa
YESU ANARUDI....JIANDAE KWA TOBA
Hili ni kombe la marekani na siyo kombe la Dunia, tunapumbazwa tu😢😢
Hio ndio America
Mbona hata Tanzania iliwahi kutokea
Nchi nyingi duniani zinaigopa USA
Inawezekan kwa saa Rahisi ni Amir Jeshi
Hata jana Ajentina vs Egypt nioona kama ilikuwa comedy
Mpira anahuaribu mkuu wa FIFA.
Ni kazi sana
Boss apingwi😂😂😂
Iyo hatari sana
Mie naona mpira na uongozi wa Infantino unatupeleka sehemu mbaya kisoka mana matukio ya uvunjifu wa sheria na nidhamu ya soka wakati wa kipindi cha Infantino ni mashaka tuu na muda mwengine unaona hasa matokeo ya baadhi ya michezo kuwa ni ya kupanga fifa haukutenda haki kwa Belgium na sio sahihi 100%
Ni hekima tu kwa rais wa fifa kukubali kauli ya tramp ila siyo haki hata kidogo
Fifa ingefanya Jee
imetokea ni ukweli anamamlaka zote na akiamua anamuachisha kazi FBI ipo
Ulegevu zaidi wa FIFA na kikosa usimamo kamili
Huyo jamaa alitaka kuuonyesha dunia kuwa nguvu yake mipaka yake ipo mbali sana 😂😂 hana chakumzuia
Fifa wanaogopa kupigwa mabomu na marekani
Ukiwa na pesa unakuwa juu ya sheria