Mimi ni player ambaye natamani sana kuja kuwa mchezaji mzuri wa badae ila Sina support please mbwaduke naiomba support Yako kaka I wish one day kuichezea taifa Stars na kufanya mengi kwenye football!
G
gabriela.miranda2 weeks, 5 days ago
ukubwa wa simba na yanga utaonekna hapo nan ambaye atakaye aga mapema mashindano lkn simba mkali
F
frédérique_weiss2 weeks, 4 days ago
Hatimaye Azam na Singida wanakutana na kina Al Ahly, mbona kimbunga🤣🤣🤣
valentim_darocha2 weeks, 4 days ago
Kwa mantiki hiyo acha tujifariji kwa parade za kutupiana majagi na kwenda kujisaidia kwa wenzetu shida kubwa sana
H
helen_hunter2 weeks, 4 days ago
Ubingwa Cl ni Hadi itakapotokea tumepata contenders dhaifu wkt was mashindano.Bila hivyo kwa mama tunavyoendesha timu zetu sio rahisi kufika fainali.
R
rosaaltamirano4672 weeks, 5 days ago
Linapokuja suala la kuchukua ubingwa CL au shirikisho vilabu vyetu bado sana, siku wakiacha propaganda na kufanya kazi kwa kuzingatia ueledi na ufanisi, wakafanya uwekezaji wa kweli basi wanaweza kuanza kushindana kikamilifu kutwaa mataji hayo.
R
robin_eaton2 weeks, 4 days ago
Mechi ya kwanza ya mtoano naomba tupangi e na Utopolo😂😂😂😂😂
A
andrew_aguilar2 weeks, 4 days ago
Nakuomba nijuse hiso pesa umeongeswa kwa bingwa tu au imeongeswa kwa Kila hatuwa?
M
matthewjimenez8022 weeks, 4 days ago
Mbona uja sema safari hii tumi ngapi hazita shiriki hatuwa ya awali
L
lisaswift3132 weeks, 4 days ago
😂😂😂😂
olivierdrift982 weeks, 4 days ago
😂😂 kumbe kila mwaka hujajua kuwa gharama za maisha huwa zinapanda .eti elfu hamsini utatumia kwa miaka 54. Jumlisha na akili yako utaona haifiki miaka hiyo 54.
Mimi ni player ambaye natamani sana kuja kuwa mchezaji mzuri wa badae ila Sina support please mbwaduke naiomba support Yako kaka I wish one day kuichezea taifa Stars na kufanya mengi kwenye football!
ukubwa wa simba na yanga utaonekna hapo nan ambaye atakaye aga mapema mashindano lkn simba mkali
Hatimaye Azam na Singida wanakutana na kina Al Ahly, mbona kimbunga🤣🤣🤣
Kwa mantiki hiyo acha tujifariji kwa parade za kutupiana majagi na kwenda kujisaidia kwa wenzetu shida kubwa sana
Ubingwa Cl ni Hadi itakapotokea tumepata contenders dhaifu wkt was mashindano.Bila hivyo kwa mama tunavyoendesha timu zetu sio rahisi kufika fainali.
Linapokuja suala la kuchukua ubingwa CL au shirikisho vilabu vyetu bado sana, siku wakiacha propaganda na kufanya kazi kwa kuzingatia ueledi na ufanisi, wakafanya uwekezaji wa kweli basi wanaweza kuanza kushindana kikamilifu kutwaa mataji hayo.
Mechi ya kwanza ya mtoano naomba tupangi e na Utopolo😂😂😂😂😂
Nakuomba nijuse hiso pesa umeongeswa kwa bingwa tu au imeongeswa kwa Kila hatuwa?
Mbona uja sema safari hii tumi ngapi hazita shiriki hatuwa ya awali
😂😂😂😂
😂😂 kumbe kila mwaka hujajua kuwa gharama za maisha huwa zinapanda .eti elfu hamsini utatumia kwa miaka 54. Jumlisha na akili yako utaona haifiki miaka hiyo 54.