Kweli kabisa, ndio maana MSEMAJI wao kawaambia WANYE nao WAKANYA...!
A
ayushman.chaudry2 weeks, 3 days ago
Kweli kabisa, Mbaya zaidi wamekunya alafu wamesahau kujisafisha, paredi lote lilikuwa linanuka mavi.
R
rael.novaes2 weeks, 4 days ago
Hahaha kumuelewa ambokile usiwe na changamoto ya marejesho😂
R
rosaaltamirano4672 weeks, 4 days ago
Hai wanaitwa kimya kunya Sports Club. Muulize Mzee Dalali.
A
allenanderson4042 weeks, 3 days ago
Chuma ni mmoja tu TZ
F
frédérique_weiss2 weeks, 4 days ago
Dada anahoji kimaelekezo ila kakutana na chuma amefeli na waliomtuma
D
damien_davies2 weeks, 4 days ago
Uhakika 💯💯 nakuelewa san brother
W
wandamyst12 weeks, 3 days ago
Kwani, Libase Geye Aurla , walikuwepo miaka 5 iliyopita ?
dagmarcascade312 weeks, 4 days ago
Sawa kiongozi chuma cha mjerumani unajua aisee
R
rafaél_gastélum2 weeks, 4 days ago
WOOOTE WALIYATUNZA KWA SIKU NNE ILI WAKANYE PALE, UPUNGUFU WA AKILI.
jessedavenport8532 weeks, 3 days ago
Huyu jamaa anaongea point sana
G
graciela_morales2 weeks, 3 days ago
Nakuelewaga sana
franz-xaver_scheel2 weeks, 3 days ago
Kaka unajua mpira
V
vincent_webb2 weeks, 4 days ago
Mtangazaji anaboa sana...maswali ya kishabiki na ya kitoto.....
A
agathe_prévost2 weeks, 4 days ago
Ambokile, unekosea kujibu swali la kuheshisha kombe la CRDB kwa parade, waambie walifedhehesha kwa kunya!
S
sabrina_king2 weeks, 4 days ago
kiongozi wao alishasema wana mtatizo ya afya ya akili
matthewmist722 weeks, 3 days ago
Kweli kabisa chuma
J
johnaura452 weeks, 4 days ago
Anbokileeee chuma cha mrumani😂😂😂😂😂🎉
michael.campbell2 weeks, 3 days ago
Ambokile ongea mpaka uvue chupi ukweli unabaki pale pale. Sisi ukituanza jiandae na come back unavyokuja ndio tunavyokupokea. Ukija kwenye umbo la kishehe utakutana na mashehe wenzako ukija kama mtupia watu makopo kwetu pia wapo. Huwezi kamwe kutuzuia kufuraia tulichokipata hata kama ni kidogo vp. Kinachokukera Ambokile wewe ulishaandaa script zako za Simba kukosa kombe la crdb sasa zimedoda. Tatizo ulikuwa huijui Simba Kwa vile umekuja Daresalama utaijua TU.. Utajua Kwa nini Yanga licha ya kuanzishwa mwaka 1935 wapo maporini na Simba licha ya kuanzishwa miaka ya baadae wapo katikati ya mji.Sisi ndio wajanja bwana! Utalia sana!
agathe_marion2 weeks, 3 days ago
Issue ilikuwa wachezaji Yanga gani hawakufanya vizuri?, lakini the guy katafuta uchochoro
Kweli kabisa, ndio maana MSEMAJI wao kawaambia WANYE nao WAKANYA...!
Kweli kabisa, Mbaya zaidi wamekunya alafu wamesahau kujisafisha, paredi lote lilikuwa linanuka mavi.
Hahaha kumuelewa ambokile usiwe na changamoto ya marejesho😂
Hai wanaitwa kimya kunya Sports Club. Muulize Mzee Dalali.
Chuma ni mmoja tu TZ
Dada anahoji kimaelekezo ila kakutana na chuma amefeli na waliomtuma
Uhakika 💯💯 nakuelewa san brother
Kwani, Libase Geye Aurla , walikuwepo miaka 5 iliyopita ?
Sawa kiongozi chuma cha mjerumani unajua aisee
WOOOTE WALIYATUNZA KWA SIKU NNE ILI WAKANYE PALE, UPUNGUFU WA AKILI.
Huyu jamaa anaongea point sana
Nakuelewaga sana
Kaka unajua mpira
Mtangazaji anaboa sana...maswali ya kishabiki na ya kitoto.....
Ambokile, unekosea kujibu swali la kuheshisha kombe la CRDB kwa parade, waambie walifedhehesha kwa kunya!
kiongozi wao alishasema wana mtatizo ya afya ya akili
Kweli kabisa chuma
Anbokileeee chuma cha mrumani😂😂😂😂😂🎉
Ambokile ongea mpaka uvue chupi ukweli unabaki pale pale. Sisi ukituanza jiandae na come back unavyokuja ndio tunavyokupokea. Ukija kwenye umbo la kishehe utakutana na mashehe wenzako ukija kama mtupia watu makopo kwetu pia wapo. Huwezi kamwe kutuzuia kufuraia tulichokipata hata kama ni kidogo vp. Kinachokukera Ambokile wewe ulishaandaa script zako za Simba kukosa kombe la crdb sasa zimedoda. Tatizo ulikuwa huijui Simba Kwa vile umekuja Daresalama utaijua TU.. Utajua Kwa nini Yanga licha ya kuanzishwa mwaka 1935 wapo maporini na Simba licha ya kuanzishwa miaka ya baadae wapo katikati ya mji.Sisi ndio wajanja bwana! Utalia sana!
Issue ilikuwa wachezaji Yanga gani hawakufanya vizuri?, lakini the guy katafuta uchochoro