Kina Ali kamwe wanatafuta makombe nje ya uwanja.Simba wadhibiti Yanga nje ya uwanja.
A
ayushman.chaudry3 weeks, 2 days ago
Nawasikiza ktokea serenget by mwita chacha maro
A
andrew_martin3 weeks, 2 days ago
Iv kwa nini wale nguli wa crown wote hawapo studio Mkai, jemedari, ayyo, Jeff na ayo shida nini😂
gabinoirizarry3903 weeks, 2 days ago
"negoshesheni"😊
claude.renard3 weeks, 2 days ago
ALI KAMWE NI JASIRI SANA ANAENDA HUKO KWENYE STUDIO YAO HAPO HAPO 😂😂😂ALLAH AMLINDE,, AMIIN
B
brunamacedo6333 weeks, 2 days ago
Mbona ahmed hawamuulizi maswali kama haya ,,,mnaogopa nini ?
N
naksh_chaudhry3 weeks, 2 days ago
Hahahah
G
graciela_morales3 weeks, 2 days ago
Hili mikiya ndio team iliyowahi kucheza dkk120 msimu wa 2024/2025 Ili ishinde na hawasemi
J
justin_brown3 weeks, 2 days ago
Awa crown nao machoko
L
lisaswift3133 weeks, 2 days ago
KAWAIDA WATANZANIA KUHAMA MADA
A
amanda.matthews3 weeks, 2 days ago
Ile ilikuwa robo fainali,,tatizo mnaoongea hamkuwepo Kwenye mpira wa Tz,,timu zilikuwa 8,xx timu 8 unaitaje makundi,,,1998 Yanga aliingia robo fainally,,ila iliitwa 8 bora,ila timu ziliwekwa kwenye makundi mawili
B
beth_burton3 weeks, 2 days ago
Paul Mkai kakimbia wakati muhimu wa kuuliza ule ujinga wake
Kina Ali kamwe wanatafuta makombe nje ya uwanja.Simba wadhibiti Yanga nje ya uwanja.
Nawasikiza ktokea serenget by mwita chacha maro
Iv kwa nini wale nguli wa crown wote hawapo studio Mkai, jemedari, ayyo, Jeff na ayo shida nini😂
"negoshesheni"😊
ALI KAMWE NI JASIRI SANA ANAENDA HUKO KWENYE STUDIO YAO HAPO HAPO 😂😂😂ALLAH AMLINDE,, AMIIN
Mbona ahmed hawamuulizi maswali kama haya ,,,mnaogopa nini ?
Hahahah
Hili mikiya ndio team iliyowahi kucheza dkk120 msimu wa 2024/2025 Ili ishinde na hawasemi
Awa crown nao machoko
KAWAIDA WATANZANIA KUHAMA MADA
Ile ilikuwa robo fainali,,tatizo mnaoongea hamkuwepo Kwenye mpira wa Tz,,timu zilikuwa 8,xx timu 8 unaitaje makundi,,,1998 Yanga aliingia robo fainally,,ila iliitwa 8 bora,ila timu ziliwekwa kwenye makundi mawili
Paul Mkai kakimbia wakati muhimu wa kuuliza ule ujinga wake
😂😂😂😂😂
Yanga amna akili wenye akili yanga awapo